MMU Fursa BET

MMU Fursa BET

Mi nataka maombi ya wk nzma n kwangu mbal nkae ukouko parokian

Parokiani hairuhusiwi ila watawa peke yake. Ila unaweza kukaa kwangu utokee hapo kuelekea parokiani.

Wahi, nafasi ni chache!!!
 
waione Eiyer, Angelicious, Window7, mwallu, Husninyo, DEMBA, J.lee, mango g, mwekundu, Mashaxizo, Mtambuzi, Nicas Mtei, lara 1, miss neddy, kiwatengu, KOKUTONA, Heaven on Earth, watu8, charminglady, ladyfurahia (pole sana kwa kupigwa ban dadaangu), measkron, Eli79, Ruttashobolwa, kabanga, karucee, Asprin, Arushaone, Lady doctor, Passion Lady na wengineo watakaoingia hapa bila kutoa comment!!

jamani huyu nae yumo kwenye kundi la mabazazi! anatumia mwamvuli tu jamani!!

mimi nimeokoka kwa muda! ahsanteni!

nimefunga box la PM kwa muda... tutaonana jamani wadau wa MMU!

nawapenda wote!!

Namuamini sana paroko mwenzangu!!
 
Parokiani hairuhusiwi ila watawa peke yake. Ila unaweza kukaa kwangu utokee hapo kuelekea parokiani.

Wahi, nafasi ni chache!!!

impressive! mkuu kwani Smile nani yako vile?

hahahhaaaaa!!! tilitililiiiii!!!
 
Last edited by a moderator:
na ningeshangaa sana usingesema hivyo!

mabazazi wasititeane? qudadeki... mi niko huku miti mirefu naangalia usawa mwingine!

Utapiga domo sana lakini kondoo wanaendelea kupata wakitakacho parokiani!!
 
sasa haka kabinti si mnakamliza?

mwili wenyewe ule saiz ya chupa! afu mnaingia nyie miili ya big show na umaga!

murder kesi hii!

Hujui kuwa reli ni nyembamba lakini inaibeba treni na mabehewa yake?
 
waione Eiyer, Angelicious, Window7, mwallu, Husninyo, DEMBA, J.lee, mango g, mwekundu, Mashaxizo, Mtambuzi, Nicas Mtei, lara 1, miss neddy, kiwatengu, KOKUTONA, Heaven on Earth, watu8, charminglady, ladyfurahia (pole sana kwa kupigwa ban dadaangu), measkron, Eli79, Ruttashobolwa, kabanga, karucee, Asprin, Arushaone, Lady doctor, Passion Lady na wengineo watakaoingia hapa bila kutoa comment!!

jamani huyu nae yumo kwenye kundi la mabazazi! anatumia mwamvuli tu jamani!!

mimi nimeokoka kwa muda! ahsanteni!

nimefunga box la PM kwa muda... tutaonana jamani wadau wa MMU!

nawapenda wote!!
yaani excel, ankal wangu Kaizer ni soon atapewa cheo ndani ya teambazazi maana ameshaqualify ubazazi.
 
Last edited by a moderator:
yaani excel, ankal wangu Kaizer ni soon atapewa cheo ndani ya teambazazi maana ameshaqualify ubazazi.

hivi mamii si ulisemaga unakimbia parokia? halafu nikakwambia kabisaaa ntakupa hifadhi..!

huu ndo muda sasa! secret revealed!
 
Husninyo yupo mbona.....sema kakukimbia #teambazazi , ila parokiani yupo, ana majukumu ya ndani zaidi sasa hivi huwezi kumwona ona

hujasikia yule mmasai sijui Phlagiey naye anataka Uparoko...mchezo? Eiyer anamjua

naona viongozi hamjapeana updates, husninyo kakimbia na anampango wa kujaribu parokia ya Asprin, nahisi kule hana matatizo.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom