excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,861
Nawaachia ngazi...
Miye napenda maombi ya kumpapasa Mungu sijui huduma hiyo ipo parokiani kwenu?
Excel alishanifanyia maombi ya deliverance au kuna maombi mengine yanahitajika zaidi?
Nawaachia ngazi...
MAMII ACHANA NA HAWA WATU... HAPA HATUNA PAROKO WALA NUNS! hawa ni fisi ndani ya ngozi ya kondoo! bora ni-accept kwako kwa mikono miwili kwamba nilikuwa bazazi kuliko wewe kwenda kwa Kaizer, Eiyer na mwallu!
these are crazy in love in the same girl.. just imagine sweet heart! watu wawili wanachukua mwanamke mmoja?
:wave::wave::wave::wave::israel::israel::israel:
unfortunately hii haipo, you cant do that
mkuu mwekundu hili ni kama azimio la arusha, unakafaham kale kajitabu?
wewe umepewa promotion chamani kuwa afisa habari wa #mabazaziahsante... mimi si bazazi.. hiyo ndio ngazi niliyokwambia Kaizer!
ahsante kwa kunipungia mkono wa kwaheri! mwallu, DEMBA, miss neddy, watu8, Eiyer, mwekundu, my dearest and sweetness Angelicious... njooni muone mkono wa huyu bazazi!
leo kakamatika haswaa! usimchanganye DEMBA na tenchy sijui tinchi mi ata sielewi!
Heheh mpwa mi najua mtayamaliza, muhimu BAKI NJIA KUU
MAMII ACHANA NA HAWA WATU... HAPA HATUNA PAROKO WALA NUNS! hawa ni fisi ndani ya ngozi ya kondoo! bora ni-accept kwako kwa mikono miwili kwamba nilikuwa bazazi kuliko wewe kwenda kwa Kaizer, Eiyer na mwallu!
these are crazy in love in the same girl.. just imagine sweet heart! watu wawili wanachukua mwanamke mmoja?
edit hiyo post kwanza.. mbona kaiza na eiyer hawapo?
umechakachua eenh?
waongezee hao wengine