MMU Fursa BET

MMU Fursa BET

ww hupendi sawa lakini hawa wanambinu nyingi, nilikuwa nakutahadharisha tu...hubby wangu namjua mwenyewe anapenda vidosho sana na anavimbinu vyake vya ubazazi akikubananisha huchomoki...teh teh teh

hivi sis, mbona mwallu na Kaizer wanatetea uzinzi? hivi parokiani ndo mnaishi hivi? AshaDii yuko wapi?..

mbona parokia zinaharibika namna hii.. Eiyer nae kakimbia mtanange?
 
Last edited by a moderator:
Kwan baba paroko Kaizer nawe una mke? Nlitaka kuja kufanyiwa maombi
tenchy umeingia choo cha shimo kipindi cha mvua kali.. utazama dada!!

mabazazi haya yatakuua!
 
Last edited by a moderator:
Kumbe n bazaz mi nlijua paroko mwenye maadl na kaz yake ya kuchunga kondoo
 
karibu sana tenchy, nafurahi kuwa wa kwanza kukupa 'like"...hiyo ndo buttom ya muhimu, ya pili ni hii ya "send Private message" au kifupi send PM apo chini kushoto, unaweza kuniPM kwa ajili ya maongezi na muongozo zaidi,,,asante

ha ha ha umenichekesha sana yaani huu ni #ubazazi waziwazi aya nakutakia kila la kheri utuipe tu mrejesho
 
Last edited by a moderator:
ninakumbuka na nilimtetea mara nyingi tu lakini ananiangusha tu....sijui nitaweka wapi uso wangu kwa walimwengu

baby ake watu8 ni mtu wangu wa karibu nashangaa amekupataje kukuambia maneno haya ya ufedhuli? am here for you baby
 
Last edited by a moderator:
Kumbe n bazaz mi nlijua paroko mwenye maadl na kaz yake ya kuchunga kondoo

hiyo ndio kazi yangu, na sitaacha hata mmoja apotee, karibu zizini, njoo ufanyiwe maombi tenchy
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom