MMU Fursa BET

MMU Fursa BET

nimekimbia na sirudi tena, yaani parokia ya Kaizer nilikaa nusu siku tu, bora ya Eiyer mwezi ulikuwa unakaribia kuisha.

images
 
kijana ukiendelea kumfuatilia huyo mwanamke ntakuachia uwe nae, sawa? sipendi confusion na headaches... ukimind sana nawachapa wote wawili.. @tinchy kaja! umefuraaaahi kwa kumpa like tu! huko pm tunajua mlichofanya?
hahahaa!@Excel nipo hapa mwenyekiti wa watalaka yeuuwi atakaeachwa aje kwenye register book maana dalili ya mvua...
 
Back
Top Bottom