MMU Fursa BET

MMU Fursa BET

Kerebu itakuhusu tu leo.! Rudia tena nikusikie vizuri! Na hiyo mimba niliishtukia kitaambo. Mimba gani haikui hiyo.? Umekula kwa Asprin ukaone umalizie kwangu eeh. Jipu njoo uchukue fursa yako huku
hapana nimempokea bwana ni kiumbe kipya Window7 we ni kaka angu katika bwana
 
Last edited by a moderator:
Angelicious nakuita unagoma, si ndiyo?

hivi we mwanamke ani kakupa kiburi mpaka unanisonya mimi?

i have never been bored like today..!

umekaa nusu saa nzima kimya ukimaanisha kuwa kuna mtu anakupa kiburi zaidi, si ndiyo angel?

nikutakie usiku mwema, na kama kuna mnyama yeyote aliekupa hifadhi, ataniambia ukweli asubuhi..

I am so sory mahaba niue wangu jana ulimi uliteleza tu si unajua wivu sina ila roho inauma?
 
Last edited by a moderator:
paroko wangu kaniangusha asee
au ndo majaribu?
waione Eiyer, Angelicious, Window7, mwallu, Husninyo, DEMBA, J.lee, mango g, mwekundu, Mashaxizo, Mtambuzi, Nicas Mtei, lara 1, miss neddy, kiwatengu, KOKUTONA, Heaven on Earth, watu8, charminglady, ladyfurahia (pole sana kwa kupigwa ban dadaangu), measkron, Eli79, Ruttashobolwa, kabanga, karucee, Asprin, Arushaone, Lady doctor, Passion Lady na wengineo watakaoingia hapa bila kutoa comment!!

jamani huyu nae yumo kwenye kundi la mabazazi! anatumia mwamvuli tu jamani!!

mimi nimeokoka kwa muda! ahsanteni!

nimefunga box la PM kwa muda... tutaonana jamani wadau wa MMU!

nawapenda wote!!
 
unaweza kutueleza kwanini Husninyo amekimbia parokiani?

kuwa muwazi la sivyo ntafungua mafaili yote hapa mbele za watu.
Husninyo yupo mbona.....sema kakukimbia #teambazazi , ila parokiani yupo, ana majukumu ya ndani zaidi sasa hivi huwezi kumwona ona

hujasikia yule mmasai sijui Phlagiey naye anataka Uparoko...mchezo? Eiyer anamjua
 
Last edited by a moderator:
Angelicious, angalia ypou may be in for a rough ride, njoo ufanyiwe maombi parokiani

cc Eiyer mwallu Excel

kijana ukiendelea kumfuatilia huyo mwanamke ntakuachia uwe nae, sawa?

sipendi confusion na headaches... ukimind sana nawachapa wote wawili.. @tinchy kaja! umefuraaaahi kwa kumpa like tu!

huko pm tunajua mlichofanya?
 
Back
Top Bottom