Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,888
- 2,385
HTML:
Mkuu inaelekea umetokea DODOMA huko kwa wakina matonya shida yako Uanze kutembeza bakuli tukisha kutana shem on u.Sioni faida yoyote ya kukutana wana jf.Kupoteza muda tu.
Vipi mkuu, mbona muoga hivyo? Kuna faida nyingi sana JF members kukutana na kufahamiana. Just try.