MMU Dar Members: Meeting Proposal.

HTML:
Mkuu inaelekea umetokea DODOMA huko kwa wakina matonya shida yako Uanze kutembeza bakuli tukisha kutana shem on u.Sioni faida yoyote ya kukutana wana jf.Kupoteza muda tu.

Vipi mkuu, mbona muoga hivyo? Kuna faida nyingi sana JF members kukutana na kufahamiana. Just try.
 
We nawe sijui niseme una mawazo mgando...umechoka au umefulia. Kufahamiana na watu na kuomba omba wapi na wapi?!Kama ndio tabia yako au ya watu unaowajua usidhani na wengine ndo walewale.
Umeniwahi siongezi nitaharibu
 
Tukikutana labda tuwe ndani ya mask maana wengine tupo hapa huru kabisa kwa sababu tu hatufahamiani. Napenda sana kutokujulikana ndio maana sichangii mada za mitandao kama facebook
kabisa bighouse! Either mask or never! Kweli, Members kukutana huondoa uhuru wa kuchangia mada hasa zile sensitive na kuna ladha flan hv ktk charting hupotea cuz now ur knwn na ukitaka kuandika ki2 unafikiria status yako kwanza, then unaedit coment mpaka unachoka ndo unaipost! Pia kukutana huwa mwanzo wa majungu, kuchafuana na ugomvi kwa baadh ya watu! I hv experienced that ktk mtandao mmoja wa kijamii people zilikutana na kilichotokea hapo ni hatari, ndoa zilivunjika, wengne walifukuzwa kazi kwa kweli ctaki tena kuonana na watu eti members.....! Never...!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
kabisa bighouse! Either mask or never! Kweli, Members kukutana huondoa uhuru wa kuchangia mada hasa zile sensitive na kuna ladha flan hv ktk charting hupotea cuz now ur knwn na ukitaka kuandika ki2 unafikiria status yako kwanza, then unaedit coment mpaka unachoka ndo unaipost! Pia kukutana huwa mwanzo wa majungu, kuchafuana na ugomvi kwa baadh ya watu! I hv experienced that ktk mtandao mmoja wa kijamii people zilikutana na kilichotokea hapo ni hatari, ndoa zilivunjika, wengne walifukuzwa kazi kwa kweli ctaki tena kuonana na watu eti members.....! Never...!
Bwana wee hiki unachokiongea naona unajaribu kujiprotect mwenyewe ambacho kwangu mimi doesnt make sense at all hapa JF baadhi ya members huwa tunakutana mara kwa mara mpaka members wa JF Dar tulifunga safari kwenda kuwaona members wa JF Arusha and nothing has changed zaidi ya familia kuwa kubwa na tumeweza kusaidiana kwenye mambo mengi tu ya muhimu hata nikutane sijui na nani siwezi kubadilisha comments zangu nazoandika JF eti ili nisionekane tofauti huo nitakuwa nauita ulimbukeni fulani.
 
Kwa anayetaka kukutana nami nipo break point hadi mida ya saa sita mchana. Nikitoka hapo natinga sungu chini kupata supu ya kunguru wa zenji. Jioni ntakuwa the calabash pub. Karibuni tujumuike na tufahamiane.
 
Bwana wee hiki unachokiongea naona unajaribu kujiprotect mwenyewe ambacho kwangu mimi doesnt make sense at all hapa JF baadhi ya members huwa tunakutana mara kwa mara mpaka members wa JF Dar tulifunga safari kwenda kuwaona members wa JF Arusha and nothing has changed zaidi ya familia kuwa kubwa na tumeweza kusaidiana kwenye mambo mengi tu ya muhimu hata nikutane sijui na nani siwezi kubadilisha comments zangu nazoandika JF eti ili nisionekane tofauti huo nitakuwa nauita ulimbukeni fulani.

Kula tano mkuu, mimi najuana na wana jf zaidi ya 20, sidhani kama nimebadilika katika comments zangu mimi ndio mimi na nitaendelea kua mimi. Hata nikutane na Raisi wa Inji hii
 
Bwana wee hiki unachokiongea naona unajaribu kujiprotect mwenyewe ambacho kwangu mimi doesnt make sense at all hapa JF baadhi ya members huwa tunakutana mara kwa mara mpaka members wa JF Dar tulifunga safari kwenda kuwaona members wa JF Arusha and nothing has changed zaidi ya familia kuwa kubwa na tumeweza kusaidiana kwenye mambo mengi tu ya muhimu hata nikutane sijui na nani siwezi kubadilisha comments zangu nazoandika JF eti ili nisionekane tofauti huo nitakuwa nauita ulimbukeni fulani.

TF namimi nipe hizo 'daireksheni' nije mnapokutana bana, mbona kimya kimya? lol!
 
Kwa anayetaka kukutana nami nipo break point hadi mida ya saa sita mchana. Nikitoka hapo natinga sungu chini kupata supu ya kunguru wa zenji. Jioni ntakuwa the calabash pub. Karibuni tujumuike na tufahamiane.

NN...on a Monday!???
Ijumaa mimi huenda Break point...utakuwa?? baada yakazi..
 
members wapya mna matatizo sana....!jf tuunaijua thamani na hadhi yake,tumetoka nayo mbali....na tunakutana daily....as from then sisi tunaishi kama familia na ndugu wamoja.
mfalme wa amani is hereby welcoming you to join the club....and trust me my dear.....uthubutu wa wanajf kukutana ulianzia dar!check me kwa mwongozo zaidi.....

teamo hapa
Nitake Radhi Teamo,nipo humu ndani since 2009,
Hebu nipe Link yeyote inayoonesha MMU members walishakutana, au Mkuu we ndo wale wale wanaoingia kwa in box za watu na kfanya arangement juu kwa juu
 
Huyu aliyeamua kuwalaumu members wapya amenifanya nicheke. Muanzisha mada inaonekana amejiunga long time ago, lakini kwa kuwa mada yake haijamfurahisha mkuu hapo juu basi wanalaumiwa new comers. Hii kweli kali!

Siyo mbaya kukutana na kufahamiana, at every one's own risk..
Jamaa ana chiki Binafsi....
 
Mkuu inaelekea umetokea DODOMA huko kwa wakina matonya shida yako Uanze kutembeza bakuli tukisha kutana shem on u.Sioni faida yoyote ya kukutana wana jf.Kupoteza muda tu.
Mkuu we unaishi ulimwengu huu ninaoshi mimi kweli au unatokea Jupiter??
Mie Nakaa Kwa Mtogole, Karibu
 
Kwa anayetaka kukutana nami nipo break point hadi mida ya saa sita mchana. Nikitoka hapo natinga sungu chini kupata supu ya kunguru wa zenji. Jioni ntakuwa the calabash pub. Karibuni tujumuike na tufahamiane.
Respect NN.
Nta ku ni PM ur Mobile No nikuvutie wire fasta
 
Oya wakuu, acheni Masihara,
Inabid tuchague Coordinator wa hii Meeting,it doesnt matter kama mlishakutana au la, tupate Coordinator ambaye atakuwa Responsible na Ku Engineer hii Meeting.
Nashauri Tumpe hii token TEAMO, au kama vp me najipa hii Title
 
Na post Hii Thread nikiwa sijaiona hapa Jamvini,
Kwa wale members wa MMU ambao tupo Dar (Nikiwa Mmoja wao) naomba tu propose day tu mit, tufahamiane, Namba za Simu tubadilishane n.k n.k n.k.
Napendekeza Tarehe za Mwanzoni mwa August.
Moods Naomba Mu i treat hii Thread as an independent one.

Thanks in Advance

Aiseee....tulio @New York, US Mnatutenga siyo
 
Back
Top Bottom