- Thread starter
- #61
Pole mwaya,muone sajoni.naumwa!!
Pole mwaya,muone sajoni.naumwa!!
Ulishapona?naumwa!!
Umeshaboresha orodha,kuna akina Preta,Da Pretyt,CPU etc etc....Wapi Belinda Jacob, Gaga, Michelle, Maria Rosa
Nimefanya utafiti members wengi kwenye Jukwaa la MMU, wana msongo wa mawazo wengi wao wameachwa na wapenzi wao!
Ndio wanaamua kujifariji na kujiliwaza huko na 25% wana mahusiano ya kimapenzi.
Hongereni sana Ma All Stars wa MMU
Kuna siri gani humu!Craaaap<br />
hakuna MOD anaye weza kutoa siri
za mtu humu ndani....
Kama ni hivyo hongera kwa utafiti wako.Uliwashirikisha Synovate?Nimefanya utafiti members wengi kwenye Jukwaa la MMU, wana msongo wa mawazo wengi wao wameachwa na wapenzi wao!
Ndio wanaamua kujifariji na kujiliwaza huko na 25% wana mahusiano ya kimapenzi.
Hongereni sana Ma All Stars wa MMU
<br />Nimefanya utafiti members wengi kwenye Jukwaa la MMU, wana msongo wa mawazo wengi wao wameachwa na wapenzi wao!<br />
Ndio wanaamua kujifariji na kujiliwaza huko na 25% wana mahusiano ya kimapenzi.<br />
Hongereni sana Ma All Stars wa MMU
<br />
<br />
hakyanani kuna watu mna kipaji km cha sheikh yahya...... Hivi ulijuaje kuwa nakutafunia? Au huijui ID ya mtu wako? Pole...... Naye yumo kwenye hiyo 25%
<br />
<br />
hakyanani kuna watu mna kipaji km cha sheikh yahya...... Hivi ulijuaje kuwa nakutafunia? Au huijui ID ya mtu wako? Pole...... Naye yumo kwenye hiyo 25%
Nimefanya utafiti members wengi kwenye Jukwaa la MMU, wana msongo wa mawazo wengi wao wameachwa na wapenzi wao!
Ndio wanaamua kujifariji na kujiliwaza huko na 25% wana mahusiano ya kimapenzi.
Hongereni sana Ma All Stars wa MMU
<br />
<br />
hakyanani kuna watu mna kipaji km cha sheikh yahya...... Hivi ulijuaje kuwa nakutafunia? Au huijui ID ya mtu wako? Pole...... Naye yumo kwenye hiyo 25%
sawa kabisa mkuu,watu wengine acha tu.<br />
<br />
hakyanani kuna watu mna kipaji km cha sheikh yahya...... Hivi ulijuaje kuwa nakutafunia? Au huijui id ya mtu wako? Pole...... Naye yumo kwenye hiyo 25%
Ngoja niende jukwaa la malalamiko
HA ha ha ha umenichekesha kweli hebu nenda nitakuunga mkono aisee
Huwa wanayafanyia kazi malalamiko?Ha ha haaa...Ngoja niende jukwaa la malalamiko
Hamna utani hapo ni kweli kabiiiiisa umejibu post kwa kujiamini loooowe ushije nianzishia za AshaDii Na FF..
Balaa staki... nimemjibu Uporoto kwa utani...
usiingilie usicho kijua...