Bila kuzingatia mpangilio wowote,members hawa kwa uchache wamekuwa hawakoseni kwenye MMU:Hongereni.
Asha Dii
Asprin
FaizyFoxy
Prett P.
Pdiddy
IGWE
Mentor
Baba-Enock
Husninyo
Vuvuzela
B'REAL
Babu Ataka Kusema
Maisha popote
Bishanga
Dena D.
Likwanda
Vivian
1st Lady
Lizzy (banned!)
Susy
Waweza ongezea kwa wale ni liowasahau.
mbona majina ya kike ndio mengi? i
he??????????
ina maana ulimakafu na afrodenzi mtu mmoja????????/
Ameachiwa saa hizi ila amekuwa JF Senior Expert Member badala ya JF Premium Member
Sababu, sijui.
Mimi simwibii mtu bana,..nimejiajiri....nabrash viatu hapo karoleni karibu na soweto garden.
unawaibia wateja wako, ambao ndio waajiri wako wanakuweka town kwa sh 200 hizo. ama unabrashi viatu vya farasi?
mkuu mtaa gani huu...hujaonekana kwenye geti togeza patii pale lenana bhanaaa
Aisee Ulimakafu = Afrodenzi!? Sikujuateh teh teh teh Uporoto Uporoto 1.. Sjakusahau bana.. ila nilichukua watu waliotu chini ya page na walio online kwa sasa kwa bahati mbaya ulikuwa kule kwa siasa lolz.. Hujambo??
inaweza kusababisha majungu, hivi ulimakafu sio mwanaume?Aisee Ulimakafu = Afrodenzi!? Sikujua
'likes' zinatafutwa kwa nguvu aisee, utafikiri ccm ilivyoiba kura 2010Bila kuzingatia mpangilio wowote,members hawa kwa uchache wamekuwa hawakoseni kwenye MMU:Hongereni.
Asha Dii
Asprin
FaizyFoxy
Prett P.
Pdiddy
IGWE
Mentor
Baba-Enock
Husninyo
Vuvuzela
B'REAL
Babu Ataka Kusema
Maisha popote
Bishanga
Dena D.
Likwanda
Vivian
1st Lady
Lizzy (banned!)
Susy
Waweza ongezea kwa wale ni liowasahau.
Mbona lako ni la kike?Huwapendi wanawake wenzako?mbona majina ya kike ndio mengi? i
aisee.... nilijua multiple IDs ni kwa wanaume tuteh teh teh teh
Uporoto
Uporoto 1..
Sjakusahau bana..
ila nilichukua watu waliotu
chini ya page na walio online kwa sasa
kwa bahati mbaya ulikuwa kule kwa siasa lolz..
Hujambo??
Uko sahihi mkuu, ni mtu mmoja japo hapo chini kajaribu ku neutralize kwamba eti alikuwa anamjibu kwa utani,.........uongo mtupu, ndiye yeyey huyo alijisahau tu kulog out na kubadili ID. Sasa tumejua!!!he??????????
ina maana ulimakafu na afrodenzi mtu mmoja????????/
Saaaasa naanza kuhisi kwamba Ulimakafu=Afrodenz=CPUBoss bana
Hahahahahah
Soma tu comment Mkuu halafu potezea
nilijua wamekuban nilieKuna zawadi....!!?
kila mtu ana list yake ya favourite members.....
Yaani umenisahau ndugu yako wa Mbeya ambaye hushinda/kulala/kuamkia Jei Efu ?
we ushije nianzishia za AshaDii Na FF..
Balaa staki... nimemjibu Uporoto kwa utani...
usiingilie usicho kijua...