Mtu mmoja Victor Guntram Mbangayao amefariki dunia baada ya kugusa nyaya za umeme zilizokuwa zimeanguka kijiji cha Narukoo chukuti wilayani Ulanga na wengine wawili kujeruhiwa picha zitafuata
Ina maana TAANI-SIKO hawakuwa wametoa tahadhari hadi mzee wa watu ashindwe kumaliza mwaka kirahisi namna hiyo?. Hii immunity ya TAANI-SIKO inabidi ifutwe ili nao wakileta madhara walipe fidia kama watu wengine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.