Mtagwa lindi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 311
- 225
Mtu mmoja Victor Guntram Mbangayao amefariki dunia baada ya kugusa nyaya za umeme zilizokuwa zimeanguka kijiji cha Narukoo chukuti wilayani Ulanga na wengine wawili kujeruhiwa picha zitafuata
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us