MMmmmh!.......nimeathirika........................ .......

bacha

JF-Expert Member
Aug 19, 2010
4,282
797
''.................................nashindwa kujizuia kabisa, ni hali tu inayonitokea
kila mara ninapokuwa na mke wangu faragha. Kiukweli kila tunapofanya tendo la ndoa,
ni lazima niivute taswira ya marehemu mke wangu wa kwanza ndipo niweze kumaliza mzunguko (round)''.

Alisikika huyu kaka alipokuwa akihojiwa na mtaalamu wa masuala ya mahusiano,
huko Kericho, Kenya. Huyu kaka ameoa mke wa pili baada ya mke wa kwanza kufariki miaka 5 iliyopita.

Wapendwa mnasemaje kuhusu kuathirika kwa style hii..........?
Kuna mtu yameshamkuta haya?
Hebu tupeane uzoefu basi............................

KARIBUNI KAHAWA, HAPA KWA MSISIRI!!!!!!!!!!!!!!na kibaridi hiki cha asubuhi kazi kweli kweli...........
BWANA AWATANGULIE NYOTE.
 
Masikini.........pole zake inavyoelekea alimpenda sana mkewe wa kwanza na pengine alioa wa pili haraka sana akiwa bado hajakubali kuwa mkewe wa kwanza hayuko na hatokuweko tena naye. Hakuiacha wala kuia nafasi denial stage ikakomaa na kupita!!

Au huyu wa pili hampi alivyokuwa anapewa na marahemu?? Si aseme naye tu, asione soo! LOL
 
Mambo hayo nikweli na sio yakujificha lakini huyo miaka mitano mwenzetu kazidisha,nadhani inatokea pale unapokua na mpz na ghafla mkaachana au amefariki hayo yankuwepo lakini sio kwa hivyoooooo, mwambie huyo alonae sasa amfanyie kama yule lakini ndio asimwambia kimtindo wa wanapokua faragha anapenda nn ili asije akalikoroga.
 
Hio hali kwa mwanume sio jambo dogo aisee for it is very rare... Pole
zake huyo kaka... inaonesha ni jinsi gani alikua anampenda mkewe au
anaweza akawa alikua hampendi ila kifo cha huyo mkewe kikafungua ni
jinsi gani alikua muhimu katika maisha yake faraghani na ndoani pia...

Hapo dawa kubwa ni support toka kwa mke wa sasa... inatakiwa awe wazi
(hoping to God ni muelewa...) waweze ongelea hio issue na waanze upya
kwa baby steps mpaka huyo kaka/baba arudi mstari.... itachukua mda
lakini ndio hivyo tena... ndoa ni uvumilivu for anything can happen
for the better or worse...
 
Masikini.........pole zake inavyoelekea alimpenda sana mkewe wa kwanza na pengine alioa wa pili haraka sana akiwa bado hajakubali kuwa mkewe wa kwanza hayuko na hatokuweko tena naye. Hakuiacha wala kuia nafasi denial stage ikakomaa na kupita!!

Au huyu wa pili hampi alivyokuwa anapewa na marahemu?? Si aseme naye tu, asione soo! LOL

yeah, mi nafikiri kuna haja ya kusema na mke wake,
walizungumze kinagaubaga, na kama wife ni wise enough atamsaidia tu.........
 
Mwambie asijali, maana haya huyo mke wake wa pili anavutaga hisia za mchumba wake wa zamani ndo na yeye aende mzunguko wa kwanza..
Kitu ngoma droo...


acha utani Mentor, sina uhakika na hilo!!!!!!!!
 
Hio hali kwa mwanume sio jambo dogo aisee for it is very rare... Pole
zake huyo kaka... inaonesha ni jinsi gani alikua anampenda mkewe au
anaweza akawa alikua hampendi ila kifo cha huyo mkewe kikafungua ni
jinsi gani alikua muhimu katika maisha yake faraghani na ndoani pia...

Hapo dawa kubwa ni support toka kwa mke wa sasa... inatakiwa awe wazi
(hoping to God ni muelewa...) waweze ongelea hio issue na waanze upya
kwa baby steps mpaka huyo kaka/baba arudi mstari.... itachukua mda
lakini ndio hivyo tena... ndoa ni uvumilivu for anything can happen
for the better or worse...


yeah, am just trying to buy your idea................
 
Mambo hayo nikweli na sio yakujificha lakini huyo miaka mitano mwenzetu kazidisha,nadhani inatokea pale unapokua na mpz na ghafla mkaachana au amefariki hayo yankuwepo lakini sio kwa hivyoooooo, mwambie huyo alonae sasa amfanyie kama yule lakini ndio asimwambia kimtindo wa wanapokua faragha anapenda nn ili asije akalikoroga.


je imeshawahi kukutokea hii arabianfalcon..............?
 
Masikini.........pole zake inavyoelekea alimpenda sana mkewe wa kwanza na pengine alioa wa pili haraka sana akiwa bado hajakubali kuwa mkewe wa kwanza hayuko na hatokuweko tena naye. Hakuiacha wala kuia nafasi denial stage ikakomaa na kupita!!

Au huyu wa pili hampi alivyokuwa anapewa na marahemu?? Si aseme naye tu, asione soo! LOL

Hapo kwenye bold..utata mtupu!
Human psychology iko kwamba, mara nyingi unapoingia kwenye uhusiano ambapo tayari alikuwepo wa mwanzo hasa kwenye kesi kama hii ya mke "aliyeondoka siyo kwa kupenda bali kwa mapenzi ya mola", "wakuja" ana kazi kwelikweli.Kuna kipimo tayari cha utendaji!

Mume huyo ana kazi ya kuvuka kizingiti cha kulinganisha. Ajue kila mtu ana vionjo tofauti. Bahati mbaya sana mke wa pili hajafikia kiwango kile na hata hawezi kulingana kwa vionjo maana binadamu wako tofauti.

Mume ana bahati mbaya kuwa kilinganisho kimetokea kwenye tendo hilo.Wengine wanaweza kujikuta hawaridhishwi na mapishi, usafi, tabia njema, na mengineyo.

Cha kufanya sidhani ni kuongea na mke mpya kuhusu hili swala bali ni kwa mume kujitahidi kuzoea vionjo vipya na hata kujaribu kumwelekeza mke mpya nini akipendacho na kuepuka kuvuta hisia kwa marehemu!
 
Yap meditation za aina hiyo huwakuta zaidi wanawake however ikitokea kwa mwanaume basi ni kwa muda then hufutika
 
Labda swali jingine ni muda gani ulipita kati ya mke wa kwanza na huyo wa pili? Na kama kulikuwa na tatizo la namna hii kabla ya kuamua kufunga ndoa?
 
Mwambie asijali, maana haya huyo mke wake wa pili anavutaga hisia za mchumba wake wa zamani ndo na yeye aende mzunguko wa kwanza..
Kitu ngoma droo...
Hehehehehe.... we noma...khaa!

Umenikumbusha nliwahi kudeti kabinti flani hivi wakati tunafanya tabia mbaya kakapiga kelele "Daniel nakuja darling...."......... Huyo daniel sijui ndo nani yailah toba......... Na ndo ukawa mwisho wetu hakyanani.
 
Mambo kama hayo yanaweza kutokea kweli, ni tatizo la kisaikolojia ambalo aidha awaone wataalamu wamshauri au akae muda mwingi na mkewe na kumweleza jinsi ambavyo atajisikia vizuri kwenye tendo la ndoa. Kwenye ndoa kunahitaji uwazi na ukweli lakini asimwambie mkewe kwamba akitaka kumaliza "round" maana hatapendezwa. Pole yake sana.
"usione soo, zungumza na mwenzio"
 
Huyo kaka ana tatizo la kulinganisha watu/wanawake, anataka Ana awe kama lucy, kitu ambacho hakiwezekani. Amkubali huyo mke jinsi alivyo, amwelekeze, amfundishe ili walau aweze kuwa na vile vitu anavyovitaka. Mi huwa nina amini na ni Imani yangu kama mtu ameondoka au ame RIP, hakuna haja ya kuhangaisha nafsi yako kwa kuendelea kumkumbuka hata kwenye hayo ya mambo ya faragha kwa miaka mingi hivyo. Amekubali kuoa mke mwingine basi na ajivue gamba, amkubali huyo mke, vinginevyo atamtesa tu dada wa watu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom