Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
Hehehehehe.... we noma...khaa!
Umenikumbusha nliwahi kudeti kabinti flani hivi wakati tunafanya tabia mbaya kakapiga kelele "Daniel nakuja darling...."......... Huyo daniel sijui ndo nani yailah toba......... Na ndo ukawa mwisho wetu hakyanani.
Babu, heheheheheh..
usikute kalikuwa kanamwita yule wa Biblia..heheheheheh!!!
Aliona mbingu i karibu..lol!