Mmiliki wa SH AMON

vijana wengi wa mbeya hususan wa tukuyu na kyela walijizolea fedha nyingi kipindi kile wao wakisema nchi imevaa isanja - nchi ikiwa uchi lakini inachukua jani bichi la mgomba na kuvaa kujisetili kipindi cha mchonga/mzee ruhsa. sabuni za geisha, sukari, colgate, chupi nk bidha ambazo zilikuwa hakuna huku. Wengi in return wali perish kwa HIV/AIDs - waliosalia walisonga mbele. No wonder nchi hii mtu akiendelea kauza unga au ni freemason!!!!!!!
 
Sauli pedeshee mutu ya pakeee huyu jamaa ukitaka kujua story zake nenda landmark hotel utaambiwa! Mbeya nzima anajulikana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom