rweyy
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 229
- 146
Mmiliki wa kiwanda cha karatasi Lake Priting maarufu kwa jina la mama Chande kauwawa na watu wanaosemekana majambazi jana jioni muda wa saa kumi nyumbani kwake maeneo ya Kauma. Majambazi walimuua na kuacha wamemfungia chumbani kwake, alikuwa hakiishi peke yake.
Mmoja wa wafanyakazi wake anasema bosi wake huyo hakuonekana kuanzia sa tisa unusu ilipofika saa 12 jioni ambapo sio kawaida alianza kupiga simu ikiita bila kujibiwa ilipo fika saa 2 usiku aliripoti polisi. Baada ya polisi kufika ndio walipo amua kuvunja mlango na kukuta marehemu kauwawa huku akiwa katobolewa macho na kuvunjwa mkono. Marehemu alikuwa hakiishi palepale kiwandani kwake kiwanda kikiwa chini yeye golofani.
R.I.P Mama chande
Mmoja wa wafanyakazi wake anasema bosi wake huyo hakuonekana kuanzia sa tisa unusu ilipofika saa 12 jioni ambapo sio kawaida alianza kupiga simu ikiita bila kujibiwa ilipo fika saa 2 usiku aliripoti polisi. Baada ya polisi kufika ndio walipo amua kuvunja mlango na kukuta marehemu kauwawa huku akiwa katobolewa macho na kuvunjwa mkono. Marehemu alikuwa hakiishi palepale kiwandani kwake kiwanda kikiwa chini yeye golofani.
R.I.P Mama chande