sina hakika kama kweli huo ni uwekezaji unaotakiwa tanzania kwani ujenzi wenyewe umekiuka sheria ya mazingira jengo lilitakiwa kuacha mita 60 kutoka ziwani sasa linyewe lipo ndani ya ziwa
Anaitwa Ridhiwani. Hapa ndipo baadhi ya wahariri walikosa vyumba
walivyobook, kisa, eti Ridhiwani alikuwa ameweka wapambe wake wa UVCCM.
Mzozo ulikuwa mkubwa hadi RPC Mwanza alifika. Baadaye huyo kijana
anayeitwa Ridhiwani Kikwete alikuja kuomba radhi, akijitetea kuwa
hakuzuia vyumba na wagei wake walikuwa wameondoka asubuhi ya siku hiyo.
Hoteli ni ya Riziwani, hili ndo jibu