Somalia na kile KIPEMBE chake, ndiyo imo ndani kabisa, hahahaaaaa........
Yemeni pia inafaidi. Madascar? Tanzania bara walau ina nafuu ila Zanzibar na Comoro? Ndiyo maana hadi Tundu Lisu kawahurumia na kasema waachiwe mafuta wachimbe na wapate kipato maana wako inside......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.