Roho ni jua huwezi kuifunika kwa kaniki...Mkuu, hii nadhani ilitoka siku 5 hivi baada ya Lissu kumiminiwa risasi.
Dah, ila bora rushwa kuliko risasi Mkuu, unaonaje?Roho ni jua huwezi kuifunika kwa kaniki...
Rai yangu uovu hautetewi kwa uovu... Rushwa ni adui wa haki, imeangamiza wengi ili tu kubaki madarakani
Lila na fila hazitangamani
Mshana Jr shida ninayoona katika nchi yetu. Ni kuwa ukiwa madarakani mawazo mbadala kwako ni uadui !!.
Ha ha ha haaaa... Plata o plomo..Ni walewale tuu, unapewa rushwa ukigoma unakula shaba... Hapa kilichobadilika ni mbinu tu... Huyu anafanya kwa kificho kwa kuzuga, huyu ni direct moja kwa moja on the spot
Always choose a lesser evil.Roho ni jua huwezi kuifunika kwa kaniki...
Rai yangu uovu hautetewi kwa uovu... Rushwa ni adui wa haki, imeangamiza wengi ili tu kubaki madarakani
Lila na fila hazitangamani
Kukichwa kutambazuka... Japo kabla ya alfajiri giza huwa totoro...Mshana Jr shida ninayoona katika nchi yetu. Ni kuwa ukiwa madarakani mawazo mbadala kwako ni uadui !!.
Mkuu wetu awatumikie wananchi, awache wenye mawazo tofauti waendelee na maisha yao.
Musiba hapana ila Musukuma au Kibajaji hao wanafaa maana zaidi ya nusu ya wapiga kura ni size yao kiakili na IQ ingawa kuna wenye Phds lakini ni zero Brain.Ha ha ha haaaa... Plata o plomo..
Kuna mdau mmoja kasema kwa jinsi anavyoifahamu CCM tusishangae 2020 rais akawa Musiba.
Subhanaallah...!!!!!Musiba hapana ila Musukuma au Kibajaji hao wanafaa maana zaidi ya nusu ya wapiga kura ni size yao kiakili na IQ ingawa kuna wenye Phds lakini ni zero Brain.