Mmh!, Lulu..... noma

Mmh!, Lulu..... noma

Kama anataka aendelee kuwa na jina aanze gym kuzuia hicho kitambi kisiendelee kuchomoza
 
Line 3,Triple Threat!!!(Mdomo,Tigo & Kawaida):JIna langu kuku unamshanganii nini kila siku ya sherehe mnapenda kula kuku inakuwa chitokololo mifupa yake kinywani kokoto kokoto hey,kanaapetaa kanaapeta....
 
Malezi ya Mzazi mmoja ya matatizo yake - na huyu binti ni matokeo ya kulelewa na Mama peke yake!
Hapa sikubaliani na wewe kabisaaaaaa, unataka kusema watoto wenye kulelewa na wazazi wa2 sio watundu? Kuna article nilisoma hivi karibuni inasema watoto wenye kulelewa na mzazi mmoja (hasa kama ni wa kike) wana develop spirit on independance na a better respect for women sababu wanaelewa women can do just as good as men.
Malezi mabaya ni kote tu.
 
Hivi hakuna ndugu wa haka kabinti wanaoweza kukaokoa?
 
Malezi mabovu sana hayo!
,
Chimunguru, upo mkuu? hivi kweli hujamwaga $ hapo?, hivi kweli hujachangia hata petrol kwenye kale ka gari kekundu?, anyway: angelelewa vizuri tusingepata nafasi ya kumsifia ama kumponda- sizitaki mbichi hizi.
 
baba yangu kafariki miaka22 iliyopita nimelelewa na mama na sina maadili ya hiki kitoto lool.hapa wazazi wake wanachekelea
ajili labda toto lao linabadili magari ya kupewa bila card,kanaleta pesa mbuzi home ngoja wakati wa kuhara uje ndo
watalia na kusaga meno!!!!!!!!!!!!!!!



Hapa sikubaliani na wewe kabisaaaaaa, unataka kusema watoto wenye kulelewa na wazazi wa2 sio watundu? Kuna article nilisoma hivi karibuni inasema watoto wenye kulelewa na mzazi mmoja (hasa kama ni wa kike) wana develop spirit on independance na a better respect for women sababu wanaelewa women can do just as good as men.
Malezi mabaya ni kote tu.
 
Hapa sikubaliani na wewe kabisaaaaaa, unataka kusema watoto wenye kulelewa na wazazi wa2 sio watundu? Kuna article nilisoma hivi karibuni inasema watoto wenye kulelewa na mzazi mmoja (hasa kama ni wa kike) wana develop spirit on independance na a better respect for women sababu wanaelewa women can do just as good as men.<br />
Malezi mabaya ni kote tu.
Yeah, you are right! Hivi yule VEMA anao wote wa2 enhe?
 
attachment.php

Acha nikimbie hili jukwaa, naweza haribu funga yangu bure
 
Back
Top Bottom