Purity Emmanuel
Member
- Nov 11, 2011
- 49
- 10
dah roho inaniuma sana mtoto mdogo kama huyu hata hana muelekeo mzuri wa maisha yeye anajiona anchofanya ni sahihi ila foolish age inampa tabu pia umaarufu umemlevya kila anachofanya anaona nia sahihi sijui ni nani alimfundisha haya mambo tushampoteza hapo ni Neema ya Mungu tu iingilie kati vinginevyo hakuna kupona.