Mmh!, Lulu..... noma

Mmh!, Lulu..... noma

Kazi ipo hapa. Tumuombee labda atabadilika kabla hajaharibikiwa zaidi
 
Lakini wiki iliyopita alicheki, mdudu mdogo haukuonekana
 
kunguru wa zanzibar (hafugiki)
attachment.php
 
Hizi ni dalali kuwa Kabinti haka kamekwisha kolea kwa kula nyama za watu-hakawezi kuacha.
 

Attachments

  • Lulu in thong.jpg
    Lulu in thong.jpg
    102.3 KB · Views: 69
mwacheni huyu binti, yuko kwenye umri wake sahihi kwa yote anayofanya. Kila mmoja wetu kapitia mambo ya umri huu, kwa wale ambao hawakufanya yanayotakiwa, ndo hao tunaona wanakamatwa gesti au ugoni wakiwa karibu na miaka 50 sababu wanafanya mambo ambayo walitakiwa kufanya katika umri wa Lulu, wengine watu wazima ndo wanakumbuka kwenda disco matokeo yake wanakutana na watoto wao waliotoroka majumbani. halafu wengine wanamkandia kwa roho mbaya zao tu
attachment.php
 
lugha ya staha kidogo,kuna uvumi pia anatumia laini 3 siku hizi ( simu bana kwani wewe ulidhani nini ? ) hahahaha!

moja mdomoni
ya pili na tatu malizia mwenyewe,,,,,,,,,,,,,,,,,,,!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hapa sikubaliani na wewe kabisaaaaaa, unataka kusema watoto wenye kulelewa na wazazi wa2 sio watundu? Kuna article nilisoma hivi karibuni inasema watoto wenye kulelewa na mzazi mmoja (hasa kama ni wa kike) wana develop spirit on independance na a better respect for women sababu wanaelewa women can do just as good as men.<br />
Malezi mabaya ni kote tu.
Yeah, you are right! Hivi yule VEMA anao wote wa2 enhe?


YES!!! I DO BELIEVE IN NATURE
KAMA IPO IPO TU , MALEZI NI MAJALIWA YA MWENYENZ MUNGU!
 
mwacheni huyu binti, yuko kwenye umri wake sahihi kwa yote anayofanya. Kila mmoja wetu kapitia mambo ya umri huu, kwa wale ambao hawakufanya yanayotakiwa, ndo hao tunaona wanakamatwa gesti au ugoni wakiwa karibu na miaka 50 sababu wanafanya mambo ambayo walitakiwa kufanya katika umri wa lulu, wengine watu wazima ndo wanakumbuka kwenda disco matokeo yake wanakutana na watoto wao waliotoroka majumbani. Halafu wengine wanamkandia kwa roho mbaya zao tu
attachment.php

huo ndo uongo nisioutaka maneno ya kujipa moyo kwa walioharibu wengine wakianza hivyo kama mtoto huyu hawaachi mpaka wanaingia kabulini na huu ndo ukweli mkuu!
 
mwacheni huyu binti, yuko kwenye umri wake sahihi kwa yote anayofanya. Kila mmoja wetu kapitia mambo ya umri huu, kwa wale ambao hawakufanya yanayotakiwa, ndo hao tunaona wanakamatwa gesti au ugoni wakiwa karibu na miaka 50 sababu wanafanya mambo ambayo walitakiwa kufanya katika umri wa Lulu, wengine watu wazima ndo wanakumbuka kwenda disco matokeo yake wanakutana na watoto wao waliotoroka majumbani. halafu wengine wanamkandia kwa roho mbaya zao tu
Sio kweli. She should not be doing this, this is wrong. na ukisema ni sawa sababu ya miaka yake unafungulia ujinga mlango.
 
hata kanatakiwa wakati wa sherehe za miaka 50 kaitwe kavikwe nishani ya uvumilivu na kupiga kazi mwanzo mwisho..hivi ndo vipaji maalumu jamani..what else do u need my dear country tanzania
 
Back
Top Bottom