<br />Kwa walio gonga mihuri wanadai mtoto yuko fit katika idara ya kujituma na akilewa ndio hakulaliki kabisaa lol!
Embu tukatoe maoani thread za akili timamu jamani jamani hakla kama9990 kasiwasumbue mkaacha kutoa mawazo yenu kuna watu wamepigika kwenye ndoa kule jukwa la nanii embu wasaidien jamani
Kwa walio gonga mihuri wanadai mtoto yuko fit katika idara ya kujituma na akilewa ndio hakulaliki kabisaa lol!
pdidy lugha yako nguvu aiseee
Lugha ya staha kidogo,kuna uvumi pia anatumia laini 3 siku hizi ( simu bana kwani wewe ulidhani nini ? ) hahahaha!Mnhh? unamaanisha waliopumbua?
hahaha anamaanisha huyu mtoto kazaliwa 1990.... kwa nini watu wazima kama sisi tupoteza muda kumjadili...?