Mmeona meseji ya kupunguza gharama za tozo/makato twa mitandao ya simu?

Mmeona meseji ya kupunguza gharama za tozo/makato twa mitandao ya simu?

Punguzo 80%

Anyway, kuna nafasi za usimamizi wa huo 'uchaguaji' za kuomba zimetangazwa
 
Kwahiyo wewe ni mwerevu,
Labda kitu ambacho hujui ni kwamba CCM itashinda bila hata kuipigia kura
Sasa kama Chama kinaweza kushinda hata kabla ya uchaguzi we unaona ni sawa? Mtu tayari anasema "kwenye zile nafasi zangu 10", "Mkurugenzi atakaye tangaza chama tofauti na CCM kimeshinda nitamtimua"
 
Nchi ina viazi wa kutosha hii. Kifupi tuna itikadi tofauti lakini kuna general rule katika maisha. CCM haitakiwi kubaki, ila kwa upumbavu wetu utasikia wameshinda 100% ya wabunge, 95% kiti cha uraisi.

I wish I could be .......I'd smash their asses so they could rot in .....!!
 
Screenshot_20250630-183410.jpg
 
Unapigaje kura ambayo haitajumlishwa kwenye matokeo halali ya uchaguzi, ama unaenda kupoteza muda!
ingawa hujanijibu...umenipa tena sababu ya kukuuliza swali jingine KWANI KURA HUWA NA MAJINA YA ALIYEPIGA? unajuaje haita au haijajumlishwa?
 
ingawa hujanijibu...umenipa tena sababu ya kukuuliza swali jingine KWANI KURA HUWA NA MAJINA YA ALIYEPIGA? unajuaje haita au haijajumlishwa?
Haina majina, haitajumlishwa kwasababu tume "itapika" matokeo ya uchaguzi. Hivi ni mtanzania gani mwenye akili timamu anaweza kumchagua Babu tale, Joseph Msukuma kuwa Mbunge?
 
Back
Top Bottom