Mmejiuliza ni kwanini mpaka sasa hawajatoa full soft copy report ya uchunguzi wa mchanga wa dhahabu?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,372
Mara baada ya Raisi Magufuli kukabidhiwa ripoti ya watumishi waliokuwa wanatumia vyeti feki,muda mfupi baadae soft copy ya ripoti hiyo ikiwa na orodha ya majina hayo ilianza kusambaa mitandaoni na kesho yake ikatoka kwenye magazeti.


Sasa hii ripoti kuhusu huu mchanga wa dhahabu mbona mpaka sasa hawajatoa hata full soft copy?

Niwaambie tu ndugu zangu, binafsi sitashangaa kuona hii ripoti ikiishia katika makabati ya pale magogoni na tusiisikie tena.


Kama kuna mwenye nayo naomba kupatiwa link.
 
Acha wazungu wale mbona wachina tumewapa pembe za ndovu ni Mali Yao na wenyewe ndio wanajua matumizi yake,hayo mchanga hata ukimwachia Magufuli atayafanyia nini ? Ana uwezo wa kutengeneza bomu? Kama kiwanda cha toilet paper kashindwa kujenga hataweza matumizi ya dhahabu,kwendeni huko kujipendekeza kwa jambazi huyu anayebomoa nyumba za watu bila huruma
 
Ya kusikia kutoka kwa Prof Mruma wakati akisoma report kwa ukali changanya na akili zako, Hii nchi ni shidaa na vituko
Hiyo taarifa ni magumashi nawasmbia. Hao maprofesa wanatafuta tu vyeo kwa Magu. Wataumbuka soon. Wameumiza watu wengi sana kwa uongo wao, Mungu anawaona. Waitoe wazi hiyo taarifa waone itakavyokosolewa. Maabara yenyewe waliyotumia ni ya GGST ambayo haina ISO. Kwa kweli wameiweka nchi pabaya sana. Time will tell
 
Mimi naunga mkono hatua alizochukua Pombe ili liwe fundisho kwa bunge ccm kutopitisha sheria za wawekezaji wa maliasili zetu hovyo hovyo. Maana wanaumbuka kwa sasa ni mibunge ya ccm kwa uwingi wao
miccm imepora na ushindi wa cuf visiwani huku ikipiga goli na mkono la nape huku bara. Kwa uwingi wao imepitisha sheria ya hovyo ya habari na tumeishia kunyimwa hadi misaada ya kujazilizia bajeti.
CCM WALAANIWE KWA SANAA WANAZOWAFANYIA WATZ MIAKA 50 BAADA YA UHURU
 
Mimi naunga mkono hatua alizochukua Pombe ili liwe fundisho kwa bunge ccm kutopitisha sheria za wawekezaji wa maliasili zetu hovyo hovyo. Maana wanaumbuka kwa sasa ni mibunge ya ccm kwa uwingi wao
YEYE pia alishabikia upumbavu japo katoa povu la kishamba eti watu wanafanya upumbavu wkt yy ni sehemu ya huo upumbavu...
HATASAMWHEWA JUST LIKE ANY OTHER ccm member
 
Mara baada ya Raisi Magufuli kukabidhiwa ripoti ya watumishi waliokuwa wanatumia vyeti feki,muda mfupi baadae soft copy ya ripoti hiyo ikiwa na orodha ya majina hayo ilianza kusambaa mitandaoni na kesho yake ikatoka kwenye magazeti.


Sasa hii ripoti kuhusu huu mchanga wa dhahabu mbona mpaka sasa hawajatoa hata full soft copy?

Niwaambie tu ndugu zangu, binafsi sitashangaa kuona hii ripoti ikiishia katika makabati ya pale magogoni na tusiisikie tena.


Kama kuna mwenye nayo naomba kupatiwa link.
Kwani ripoti kaandikiwa nani
Is it a public document?
Jiongeze hili game ni kubwa sana

Aliyetaka kashapewa wewe unaulizia.
Una utaalamu gani kwenye madini.
Au ndo vile wakina kilambasi
 
Back
Top Bottom