Mme aliyeibiwa na dada wa Buza yuko wapi?

Hii salamu najibuje? Salama kabisa mzee wa Kigamboni. Mnamtetea mwanaume mwenzenu eeh? Huyo mume asiyejua kufunga zipu yake nje, ndiyo chanzo cha yote. Anajua mkewe mwehu why anakit*mbesha nje?
Mkuu....
Sijazowea kukuona hivi,
I'm sure ID yako itakua imedukuliwa..πŸ€”
 
Ndiyo nasisi tunataka kumuona huyo jamaa. Mpaka mkewe akatuma vijana wamtese binti wa watu, wakati angeweza kumuonya binti.
Umeshaambiwa huyo Askari amefiwa na mumewe, huyo wanayemgombea ni hawara tu..

Sasa huyo hawara wala mkewe hajakodi watu, ni wanawake wa mjini tu wanagombea mti wa kuazima
 
Halafu inasemekana sio mume wake naskia huyo afande ni mjane...
Naye alikuwa ni hawara tu ni sawa mm na ww tukimgombea reree😁
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kumbe?!!
Ila wajane nao jamani.!!
Basi itakuwa huyo bwana ni kibenten
Em waweke sura yake tuone,
Mara pap naye ni mme wa mtu mwingine 😹
Huyo raraa mbona umempa kiki sana, utamfanya alale na Viatu leo lol!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kumbe?!!
Ila wajane nao jamani.!!
Basi itakuwa huyo bwana ni kibenten
Em waweke sura yake tuone,
Mara pap naye ni mme wa mtu mwingine 😹
Huyo raraa mbona umempa kiki sana, utamfanya alale na Viatu leo lol!
Itakuwa ni kibenteni kweli...πŸ˜…
Mama nae shepu haishawish bas angetulia ..ila ona Sasa keshayabananga...

rere nimemkataza ku like Kila comment 🀣🀣
Nae si muda atapoa kama simtank..
 
Itakuwa ni kibenteni kweli...πŸ˜…
Mama nae shepu haishawish bas angetulia ..ila ona Sasa keshayabananga...

rere nimemkataza ku like Kila comment 🀣🀣
Nae si muda atapoa kama simtank..
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wapi simtank la lita 3000
Unamuonea raraa bana muache atoe likes
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wapi simtank la lita 3000
Unamuonea raraa bana muache atoe likes
Ila watu mna maneno πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Eti simtankπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ila watu mna maneno πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Eti simtankπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Akilia sasa km simtank linamwaga maji 🀣🀣
Kwa kupenda kususa sasa.!! Utashangaa likikasirika linajitupa chini 😹😹😹
 
Umeelewa ila unapindisha. Mke katuma vijana sababu binti anatembea na mumewe. Chanzo ni mume kumtongoza binti. Bila hilo kusingekuwa na haya yote. Elewa mada ndiyo utanielewa namimi.
Alifikaje gheto alitekwa!! Wengine hatujui hizo stori za daslam elezeeni vizuri
 
Tatizo ana like Hadi matusi🀣🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yule ana like had matusi anayotukanwa raraa kiboko.!
Sema ana uhai mrefu sana mtu km yule hajali, sio wengine wanaumia ila wanajifanya β€œhainiumi” kumbe uongoooo 😹😹😹
 
Hii salamu najibuje? Salama kabisa mzee wa Kigamboni. Mnamtetea mwanaume mwenzenu eeh? Huyo mume asiyejua kufunga zipu yake nje, ndiyo chanzo cha yote. Anajua mkewe mwehu why anakit*mbesha nje?
Unajibu mitano Tena Kwa nani sijui jina nimemsahau
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…