Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
Mmasai mmoja alikuwa anasafiri kutoka umasaini kuja dar.Katika moja ya matayarisho yake ya safari akaamua kununua angalau chupi.Siku ya siku akapanda zake basi kuja dar.
Akiwa ndani ya basi akachanua miguu yake ili watu waone chupi yake mpya bila kujua kuwa alisahau kuvaa.Watu wakapigwa na butwaa yeye akawa anaendelea kujiweka wazi zaidi akijua wanamuonea wivu.
Alivyoona wanazidi kushangaa akaamua kuvunja ukimya,akawaambia "mnashangaa nini?na nyumbani nimeacha kama hii ya kijani."
Akiwa ndani ya basi akachanua miguu yake ili watu waone chupi yake mpya bila kujua kuwa alisahau kuvaa.Watu wakapigwa na butwaa yeye akawa anaendelea kujiweka wazi zaidi akijua wanamuonea wivu.
Alivyoona wanazidi kushangaa akaamua kuvunja ukimya,akawaambia "mnashangaa nini?na nyumbani nimeacha kama hii ya kijani."