Jina lake libarikiwe, amen!Bwana ametoa, Bwana ametwaa.
Lete habari zaidi, umesikia wapi?Nasikia na Rose Muhando kafariki wenye taarifa mtujuze kwa uhakika zaidi
Basi la kampuni ya Sumry likitokea Arusha kuelekea Mbeya, limepata ajali maeneo ya Igawa, kilometa 140 kutoka mji wa Mbeya. Basi hilo likiwa mwendo mkali, tairi la mbele lilipasuka na kupelekea kupinduka kwake. Watu 13 wamepoteza maisha yao papo hapo na wengine kujeruhiwa vibaya.
Habari zaidi zinasema waliokufa wameshafikia 15[/QUnOTE]Hawa Sumry wana dhamira gani na maisha ya watu hii ni ajali ya 3 sasa ndani ya muda mfupi..
Kwa alieangalia taarifa ya habari ya juzi Ijumaa TBC 1, basi la Sumry lilijaza abiria kupita kiasi mpaka kufikia hatua ya waliosimama kuwa wengi kuliko waliokaa, abiria wakatoa taarifa polis na kweli gari lilisimamishwa, cha ajabu askar aliangalia tu na kuruhusu gari kuendelea na safar, leo yametokea maafa kwa gari hilo hilo tena, kwa nini hii kampun isifutiwe leseni?????
Nani kakuambia atawasaidia? Mwarabu mshenzi sana yule, iliwahi kutokea ajali kama hiyo, akamfunga jela kondakta eti kwa kuwa TV iliyokuwamo kwenye basi imepotea! Sasa wewe ajali inatokea, anaanza kufungua kesi ya upotevu wa vitu vidogo vidogo kama TV anaacha kuangalia wafu na majeruhi, leo hii ndio amsaidie nani? Huyu jamaa anatoa watu kafara sana tu!... kampuni ya sumri ni kati ya kampuni bora kabisa ya usafirishaji nchini nategemea watashiriki kikamilifu katika kusaidia wafiwa na majeruhi wote