Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

imetokea ajali mbaya maeneo ya makumira Arusha kati ya hiace na ngorika...watu 9 wamekufa hapohapo..!habari zaidi zitawajia..!
 
Duh Mungu tuepushe na hz ajali,kama vp mkuu weka picha au chanzo cha habari ni wapi?
 
Mwenyezi mungu azilaze roho za marehem mahal pema na majeruh wapone AMEN.
 
mungu awalaze pema peponi waliopoteza maisha yao
 
Unspeakably too bad!
Poleni sana wafiwa, na Marehemu Mungu awapokee!

Tulikuwa tumepumzika na hizi ajali...Mundu ingilia kati!
 
RIP Wote waliofariki dunia ajali hizi zimezidi
 
Mungu atunusulu na ajali hizi jamani kwani nchi yetu ina matatizo yakutosha. Mheshimiwa Rais tafadhali tumia wadhifa wako kuteua rasilimali watu professionals kukiongoza chuo chetu cha usafirishaji pale mabibo DSM ili kiweze kutimiza majukumu yake kikamilifu pengine hizi ajali zinaweza kupungua, Kuna mwalimu mmoja aliwahi kutufundisha Transport Economics pale idara ya uchumi UDSM miaka ya themanini huyu akipewa kuongoza kile chuo anaweza kuleta mabadiko sana. Jaribinu kumtafuta kwani nasikia siku hizi ni consultant na wenzetu wa nchi za jirani na mashirika ya nje wanamtumia sana.
 
Asubuhi hii basi la Ngorika lililokuwa linatoka arusha kwenda dar limegongana na Hiace imeandika Shalom katika daraja la Makumira nje kidogo ya jiji la Arusha watu wamekufa na wengine wamejeruhiwa..
Mungu aziwe mahali pema roho za marehemu.. Amen
 
Nchi hii ajali zitaisha lini jamani!!! Lawama zangu bado naelekeza kwa serikali. Bado haijawa serious na suala la usalama barabarani.
 
Ninaungana na familia zote zilizofikwa na msiba huu kuwapa pole kwa msiba. Lakini pia ninaweza kusema, Uzembe wa madreva ndio chanzo kikubwa cha ajali. Mimi niombe tu serikali ichukuwe hatua kali za kisheria kwa aliyesababisha ajali hii.
 
mwenyezi mungu awalaze pema marehem wote
 
Hata mimi leo nilikuwemo katika gari lililopata ajali maeneo ya Mbezi kwa Yusuph asubuhi hii.Tunamshukuru Mungu kuwa hakuna mtu aliyepoteza maisha.Jamani hizi ajali....
 
Duh Mungu tuepushe na hz ajali,kama vp mkuu weka picha au chanzo cha habari ni wapi?

I strongly believe in God and He is my everything but vingine tunamwonea jamani truth be told. Lets be serious kidogo, hivi tunajuwa hali ya magari mengi yanayotembea huko barabarani kama uchakavu wa matairi? Je tunajuwa namna drivers zetu walivyo rough huko barabarani? Je tunajuwa namna traffic police wetu wanavyoongoza kwa kuchukua rushwa na kuacha sheria za barabarani zikipindishwa at the expense of our peoples lives?

Binafsi nikisikia ajali sishtuki hata kidogo, this doesnt mean nataka watu wafe no lakini ajali ni matokeo ya matendo ya u careless wetu. Kwangu mimi ajali zetu nyingi si accidents kwani accident haizuiliki hizi zetu nyingi zinazuilika ni uzembe tu. So kwa hili si Mungu jamani lets work on ourselves.
 
dah, pole saaana wasafiri.... Idadi ya walifariki imejulikana??,this iz sooo bad
 
Pole kwa majeruhi na marehemu walazwe mahali pema peponi amen...
 
Inna-Lillah Wa-Inailaih Rajiuun.

Allah Atujaalie makazi mema kesho huko Akhera, maana kasi ya vifo vya ajali ni kubwa sana.
Drivers please watch out on this, passengers please do something on this.
 
Back
Top Bottom