FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
- Thread starter
- #41
Mlokole au msanii huyo...ulokole gani unaosema vunja ndoa ya mtu, halafu ikishavunjika utaozeshwa tena kanisa gani. Kaa chonjo, atakwambia muue mumeo ili ndoa ipitie kanisani ipate baraka za bwana.
Akipiga tena mwambie akajaribu Oscar Award anaweza pata!
hahahahaha Asante MadameX
mimi penda Avatar yako kila nikioona nasmile
Last edited by a moderator: