Nilipata shock Mzinga ..
iweje mlokole ategee mzee amefika na mida ya usifu apige simu eti kaoteshwa???
Ila nilimwambia mzee kama atapiga tena naomba uongee nae
Jamani kama mnavyojua haya ma long distance ..Ndio nimetoka kumpokea mzee baada kuwa mbali kwa takribani miezi kadhaa,
Mida ya saa mbili usiku naanda chakula mala simu inaita...naenda kupokea inakatika,
Ikaita tena ..Ile napokea napokelewa na salam ya bwana asifiwe
OOh nikaitikia kwa amani zote amina na wewe bwana asifiwe.
Mara simu ikakatika .
Mpendwa akaendelea sasa kubeep nikipiga hapokei ndipo nilipoamua kumtumia sms nikimwambia asinibeep.
Husband akasema piga.
Mlokole kapokea na sauti inatoka kila kona ya nyumba inasikika usiku
ooh nimefunga kwa muda wa week 3 nimeonyeshwa wewe ndo mke wangu mke mwema...najua hunijui sijui naitwa A.
Naomba upokee maombi yangu.
Nikauliza simu yangu umetoa wapi.
Mlokole kanambia kaipata kwa uwezo wa roho mtakatifu.
Nikamwambia lakini mpendwa mbona nimeolewa nina familia tayari huyo roho mtakatifu aliyekuongoza amekosea
Jaribu kufunga tena.
Mlokole akasema ooh ndoa huwa zinavunjika .
Na yeye yuko tayari kusubiri ndoa yangu ivunjike ili aje kuleta posa.
Ni mtu gani wa kusubiri ndoa ya mwenzie ivunjike eti kaokoka?
Mzee akabakia anaguna tu huku mie nikiendelea kushangaa.
Huyu mlokole mbona ananiletea balaa mwenzenu.:nono:
Mungu sio wa vitisho.Acha dhihaka na watu wa Mungu
Mungu sio wa vitisho.
Shida yenu hasira za kibinadamu mnaassume na Mungu yupo hivyo.
Mungu ni wa upendo na amani
Aisee walokole sisi sio wajinga kiivvo...ila wajinga wapo bila kujali ni mlokole au la......aiseee...halafu gia kakosea hayuko romantic..unaanzaje kuzungumzia mke mara kuonshew akwa simu...by the way mim mlokole ila siamini sana hiz mamboi za kuoneshwa naonaga kamab...sio kwa wote ila zipo wachaceh sana wenye roho na kweli wanapata maono..ila sio kuitumia hiyo gia kutongoza..hata kamamaono yapo unamfuat mtu kwa njioa zetu za kawaida ucheshi urafiki date etc ndio unamalizia..hiyo ya aliyekybeep ni boya kabisa...tena ana beep..ukipig hapokei duh hahaha......kazi ipo...sema nin usisemm mlokole sema tu jamaaJamani kama mnavyojua haya ma long distance ..Ndio nimetoka kumpokea mzee baada kuwa mbali kwa takribani miezi kadhaa,
Mida ya saa mbili usiku naanda chakula mala simu inaita...naenda kupokea inakatika,
Ikaita tena ..Ile napokea napokelewa na salam ya bwana asifiwe
OOh nikaitikia kwa amani zote amina na wewe bwana asifiwe.
Mara simu ikakatika .
Mpendwa akaendelea sasa kubeep nikipiga hapokei ndipo nilipoamua kumtumia sms nikimwambia asinibeep.
Husband akasema piga.
Mlokole kapokea na sauti inatoka kila kona ya nyumba inasikika usiku
ooh nimefunga kwa muda wa week 3 nimeonyeshwa wewe ndo mke wangu mke mwema...najua hunijui sijui naitwa A.
Naomba upokee maombi yangu.
Nikauliza simu yangu umetoa wapi.
Mlokole kanambia kaipata kwa uwezo wa roho mtakatifu.
Nikamwambia lakini mpendwa mbona nimeolewa nina familia tayari huyo roho mtakatifu aliyekuongoza amekosea
Jaribu kufunga tena.
Mlokole akasema ooh ndoa huwa zinavunjika .
Na yeye yuko tayari kusubiri ndoa yangu ivunjike ili aje kuleta posa.
Ni mtu gani wa kusubiri ndoa ya mwenzie ivunjike eti kaokoka?
Mzee akabakia anaguna tu huku mie nikiendelea kushangaa.
Huyu mlokole mbona ananiletea balaa mwenzenu.:nono:
haaaa this is not serioususiwalaumu sana
mi nawajua watu wengi ambao ni wagonjwa wa akili
wamehamia kwenye ulokole...
pengine mgonjwa....
Aisee walokole sisi sio wajinga kiivvo...ila wajinga wapo bila kujali ni mlokole au la......aiseee...halafu gia kakosea hayuko romantic..unaanzaje kuzungumzia mke mara kuonshew akwa simu...by the way mim mlokole ila siamini sana hiz mamboi za kuoneshwa naonaga kamab...sio kwa wote ila zipo wachaceh sana wenye roho na kweli wanapata maono..ila sio kuitumia hiyo gia kutongoza..hata kamamaono yapo unamfuat mtu kwa njioa zetu za kawaida ucheshi urafiki date etc ndio unamalizia..hiyo ya aliyekybeep ni boya kabisa...tena ana beep..ukipig hapokei duh hahaha......kazi ipo...sema nin usisemm mlokole sema tu jamaa
Jamani kama mnavyojua haya ma long distance ..Ndio nimetoka kumpokea mzee baada kuwa mbali kwa takribani miezi kadhaa,
Mida ya saa mbili usiku naanda chakula mala simu inaita...naenda kupokea inakatika,
Ikaita tena ..Ile napokea napokelewa na salam ya bwana asifiwe
OOh nikaitikia kwa amani zote amina na wewe bwana asifiwe.
Mara simu ikakatika .
Mpendwa akaendelea sasa kubeep nikipiga hapokei ndipo nilipoamua kumtumia sms nikimwambia asinibeep.
Husband akasema piga.
Mlokole kapokea na sauti inatoka kila kona ya nyumba inasikika usiku
ooh nimefunga kwa muda wa week 3 nimeonyeshwa wewe ndo mke wangu mke mwema...najua hunijui sijui naitwa A.
Naomba upokee maombi yangu.
Nikauliza simu yangu umetoa wapi.
Mlokole kanambia kaipata kwa uwezo wa roho mtakatifu.
Nikamwambia lakini mpendwa mbona nimeolewa nina familia tayari huyo roho mtakatifu aliyekuongoza amekosea
Jaribu kufunga tena.
Mlokole akasema ooh ndoa huwa zinavunjika .
Na yeye yuko tayari kusubiri ndoa yangu ivunjike ili aje kuleta posa.
Ni mtu gani wa kusubiri ndoa ya mwenzie ivunjike eti kaokoka?
Mzee akabakia anaguna tu huku mie nikiendelea kushangaa.
Huyu mlokole mbona ananiletea balaa mwenzenu.:nono:
Hilo ni pepo kabisa, kama umempenda mtu mwambie moja kwa moja sio kumsingizia Roho mtakatifu. Mimi ni mpentekoste nashauri vijana wapate mafundisho namna ya kutongoza
haaaa this is not serious
Huyo sio mlokolo anakujua fika.We ungempa kubwa tu.Hayo ndo majini yenyewe.Hata hivyo umeongea nae kistaarabu sana.Mpigie tena halafu mwambie asirudie.
jina sahihi kabisa ni mpentecosteMkuu kumbe wewe mlokole?
Heshima kwako mkuu
jina sahihi kabisa ni mpentecoste
Nilipata shock Mzinga ..
iweje mlokole ategee mzee amefika na mida ya usifu apige simu eti kaoteshwa???
Ila nilimwambia mzee kama atapiga tena naomba uongee nae