Mlipuko jijini Dodoma

Mlipuko jijini Dodoma

Atakuwepo pia
tapatalk_1556819097652.jpeg
 
Mtoa post ungekuwa karibu yangu ningekunasa KOFI..!! Lakini sawa tu mungu anakuona.
 
Nikuwa hapo Bank of Afrika muda wa saa tatu na ushehee nikasikia sauti kama milipuko ya mabomu nilitaka kutoka nduki
Kumbe wasabato wapo kwenye ibada
 
Daaaaah we ni kiboko aisee.

Nimekuja kwa shangwe kuu nikijua wajomba zake Karia wameshafanya yao pale mjengoni. Hakika ingekuwa hivyo ningetoa sadaka ya kuteketeza
 
....Unadhalilisha dini yako! Kwani ungesema 'Mkutano Mkubwa wa Injili' unaona usingepata watu wa kusoma Bandiko lako??
Haya umetupata sasa! Sasa???
 
Wanabodi

Mlipuko mkubwa sana wa neno la MUNGU unatarajiwa kushika kasi kuanzia leo tarehe 4 mwezi wa 5 hadi 25/5/2019 katika viwanja vya kanisa la waadventista wasabato dodoma kati.

USIPANGWE KUKOSA KUKUTANA NA NGUVU YA MUNGU KWA MAJUMA HAYA.

MASOMO YATAYO TOLEWA NI:-
1. AFYA NA KIASI
2. KAYA NA FAMILIA(KLINIKI YA NDOA NA NAMNA YA KUPATA MKE/MME MWEMA)
3. MAFUNDISHO MAKUU YA NENO LA MUNGU
View attachment 1087813

Mgeni rasmi katika ufunguzi wa mikutano hii awe waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.
View attachment 1087815

MADA KUU: "UZOEFU WA NGUVU YA MUNGU".
MHUBIRI: DR BARAKA MUGANDA
MUDA: SAA 12 JIONI MPAKA SAA 2 KAMILI USIKU.

FATILIA KUPITIA: ROCK FM DODOMA, STAR TV, HOPE CHANNEL TANZANIA, ADVENTIST WORLD RADIO NA MORNING STAR RADIO

View attachment 1087817View attachment 1087818

USIPANGE KUKOSA MBARAKA HUU. NENO LA MUNGU LINA NGUVU ZAIDI YA UPANGA, BOMU NA NYUKLIA.

EWE MWENYE SHIDA YAKO MPELEKEE MUNGU PALE MSALABANI. LAKINI USISAHAU KUIOMBEA SERIKALI YAKO.

BARIKIWA NA BWANA.

( TAARIFA NILIZOPATA HIVI PUNDE, ALIYEFUNGUA MKUTANO NI MHANDISI MASAUNI MASAUNI, N/W MAMBO YA NDANI).
Utapeli wa mgongo wa dini waingia DDM!
 
ungeandika wizi mkubwa Doujinga wapelekee hukohuko ujingani waambie wenzio tushachoka blunder zenu mara kuchoma watu moto mara vilema mara kifo ni WIZI MYUPU RUBISH
 
Wanabodi

Mlipuko mkubwa sana wa neno la MUNGU unatarajiwa kushika kasi kuanzia leo tarehe 4 mwezi wa 5 hadi 25/5/2019 katika viwanja vya kanisa la waadventista wasabato dodoma kati.

USIPANGWE KUKOSA KUKUTANA NA NGUVU YA MUNGU KWA MAJUMA HAYA.

MASOMO YATAYO TOLEWA NI:-
1. AFYA NA KIASI
2. KAYA NA FAMILIA(KLINIKI YA NDOA NA NAMNA YA KUPATA MKE/MME MWEMA)
3. MAFUNDISHO MAKUU YA NENO LA MUNGU
View attachment 1087813

Mgeni rasmi katika ufunguzi wa mikutano hii awe waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.
View attachment 1087815

MADA KUU: "UZOEFU WA NGUVU YA MUNGU".
MHUBIRI: DR BARAKA MUGANDA
MUDA: SAA 12 JIONI MPAKA SAA 2 KAMILI USIKU.

FATILIA KUPITIA: ROCK FM DODOMA, STAR TV, HOPE CHANNEL TANZANIA, ADVENTIST WORLD RADIO NA MORNING STAR RADIO

View attachment 1087817View attachment 1087818

USIPANGE KUKOSA MBARAKA HUU. NENO LA MUNGU LINA NGUVU ZAIDI YA UPANGA, BOMU NA NYUKLIA.

EWE MWENYE SHIDA YAKO MPELEKEE MUNGU PALE MSALABANI. LAKINI USISAHAU KUIOMBEA SERIKALI YAKO.

BARIKIWA NA BWANA.

( TAARIFA NILIZOPATA HIVI PUNDE, ALIYEFUNGUA MKUTANO NI MHANDISI MASAUNI MASAUNI, N/W MAMBO YA NDANI).
 
Mwandishi unakimbizwa ama hyo heading vip ww unamatatizo aseee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom