Nkuruvi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 625
- 675
Kwa nini??pumbaf
Kwa nini??pumbaf
Mbona unachuki hivyo rafiki???Kichaa wewe, mseme mnataka sadaka mchangiwe hata humu. Mzungu alituharibu sana ngozi nyeusi kutuletea dini nazo zikatupumbaza
Mbona unachuki hivyo rafiki???
Utapeli wa mgongo wa dini waingia DDM!Wanabodi
Mlipuko mkubwa sana wa neno la MUNGU unatarajiwa kushika kasi kuanzia leo tarehe 4 mwezi wa 5 hadi 25/5/2019 katika viwanja vya kanisa la waadventista wasabato dodoma kati.
USIPANGWE KUKOSA KUKUTANA NA NGUVU YA MUNGU KWA MAJUMA HAYA.
MASOMO YATAYO TOLEWA NI:-
1. AFYA NA KIASI
2. KAYA NA FAMILIA(KLINIKI YA NDOA NA NAMNA YA KUPATA MKE/MME MWEMA)
3. MAFUNDISHO MAKUU YA NENO LA MUNGU
View attachment 1087813
Mgeni rasmi katika ufunguzi wa mikutano hii awe waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.
View attachment 1087815
MADA KUU: "UZOEFU WA NGUVU YA MUNGU".
MHUBIRI: DR BARAKA MUGANDA
MUDA: SAA 12 JIONI MPAKA SAA 2 KAMILI USIKU.
FATILIA KUPITIA: ROCK FM DODOMA, STAR TV, HOPE CHANNEL TANZANIA, ADVENTIST WORLD RADIO NA MORNING STAR RADIO
View attachment 1087817View attachment 1087818
USIPANGE KUKOSA MBARAKA HUU. NENO LA MUNGU LINA NGUVU ZAIDI YA UPANGA, BOMU NA NYUKLIA.
EWE MWENYE SHIDA YAKO MPELEKEE MUNGU PALE MSALABANI. LAKINI USISAHAU KUIOMBEA SERIKALI YAKO.
BARIKIWA NA BWANA.
( TAARIFA NILIZOPATA HIVI PUNDE, ALIYEFUNGUA MKUTANO NI MHANDISI MASAUNI MASAUNI, N/W MAMBO YA NDANI).
Wanabodi
Mlipuko mkubwa sana wa neno la MUNGU unatarajiwa kushika kasi kuanzia leo tarehe 4 mwezi wa 5 hadi 25/5/2019 katika viwanja vya kanisa la waadventista wasabato dodoma kati.
USIPANGWE KUKOSA KUKUTANA NA NGUVU YA MUNGU KWA MAJUMA HAYA.
MASOMO YATAYO TOLEWA NI:-
1. AFYA NA KIASI
2. KAYA NA FAMILIA(KLINIKI YA NDOA NA NAMNA YA KUPATA MKE/MME MWEMA)
3. MAFUNDISHO MAKUU YA NENO LA MUNGU
View attachment 1087813
Mgeni rasmi katika ufunguzi wa mikutano hii awe waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.
View attachment 1087815
MADA KUU: "UZOEFU WA NGUVU YA MUNGU".
MHUBIRI: DR BARAKA MUGANDA
MUDA: SAA 12 JIONI MPAKA SAA 2 KAMILI USIKU.
FATILIA KUPITIA: ROCK FM DODOMA, STAR TV, HOPE CHANNEL TANZANIA, ADVENTIST WORLD RADIO NA MORNING STAR RADIO
View attachment 1087817View attachment 1087818
USIPANGE KUKOSA MBARAKA HUU. NENO LA MUNGU LINA NGUVU ZAIDI YA UPANGA, BOMU NA NYUKLIA.
EWE MWENYE SHIDA YAKO MPELEKEE MUNGU PALE MSALABANI. LAKINI USISAHAU KUIOMBEA SERIKALI YAKO.
BARIKIWA NA BWANA.
( TAARIFA NILIZOPATA HIVI PUNDE, ALIYEFUNGUA MKUTANO NI MHANDISI MASAUNI MASAUNI, N/W MAMBO YA NDANI).









Ili usome ndani lazima kichwa cha habari Kama hicho kitengenezwe.Siku nyingine jifunze kuandika headline!