Domhome
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 3,198
- 3,973
Mkuu,
Umewasahau wale Wasabato masalia?
Umewasahau wale Wasabato masalia?
Kwa kweli wasabato mna matatizo.
Kwa kweli wasabato mna matatizo.
Hao Wasabato huwa hawaombi hata shilingi kwenye mikutano yao,si kama hao uliowazoea,pia yanarushwa kwenye TV,wala hutaona maandishi ya kuomba mchango.Kuwa na amani.Kichaa wewe, mseme mnataka sadaka mchangiwe hata humu. Mzungu alituharibu sana ngozi nyeusi kutuletea dini nazo zikatupumbaza
habari njema ni kwamba kwenye Mahubiri kama hayo hakunaga kutoa SadakaKichaa wewe, mseme mnataka sadaka mchangiwe hata humu. Mzungu alituharibu sana ngozi nyeusi kutuletea dini nazo zikatupumbaza
TANGU LINI NURU NA GIZA VIKAWA PAMOJA?Mimi na usabato ni maji na mafuta
Mimi nilidhani huu mlipuko ulitokea bungeni Leo. Yani ungekua mzuka kwasababu bunge lingebomoka na kusingekuwa na majeruhi ni weekend.
HAMNA HAJA NA KUWA NA BUNGE KWENYE HUU UTAWALA WA KIDUWANZI
Kumbe Usabato ni Giza ? basi sawaTANGU LINI NURU NA GIZA VIKAWA PAMOJA?