clion dismas
Senior Member
- Aug 6, 2017
- 185
- 169
Wanabodi
Mlipuko mkubwa sana wa neno la MUNGU unatarajiwa kushika kasi kuanzia leo tarehe 4 mwezi wa 5 hadi 25/5/2019 katika viwanja vya kanisa la waadventista wasabato dodoma kati.
USIPANGWE KUKOSA KUKUTANA NA NGUVU YA MUNGU KWA MAJUMA HAYA.
MASOMO YATAYO TOLEWA NI:-
1. AFYA NA KIASI
2. KAYA NA FAMILIA(KLINIKI YA NDOA NA NAMNA YA KUPATA MKE/MME MWEMA)
3. MAFUNDISHO MAKUU YA NENO LA MUNGU
Mgeni rasmi katika ufunguzi wa mikutano hii awe waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.
MADA KUU: "UZOEFU WA NGUVU YA MUNGU".
MHUBIRI: DR BARAKA MUGANDA
MUDA: SAA 12 JIONI MPAKA SAA 2 KAMILI USIKU.
FATILIA KUPITIA: ROCK FM DODOMA, STAR TV, HOPE CHANNEL TANZANIA, ADVENTIST WORLD RADIO NA MORNING STAR RADIO
USIPANGE KUKOSA MBARAKA HUU. NENO LA MUNGU LINA NGUVU ZAIDI YA UPANGA, BOMU NA NYUKLIA.
EWE MWENYE SHIDA YAKO MPELEKEE MUNGU PALE MSALABANI. LAKINI USISAHAU KUIOMBEA SERIKALI YAKO.
BARIKIWA NA BWANA.
( TAARIFA NILIZOPATA HIVI PUNDE, ALIYEFUNGUA MKUTANO NI MHANDISI MASAUNI MASAUNI, N/W MAMBO YA NDANI).
Mlipuko mkubwa sana wa neno la MUNGU unatarajiwa kushika kasi kuanzia leo tarehe 4 mwezi wa 5 hadi 25/5/2019 katika viwanja vya kanisa la waadventista wasabato dodoma kati.
USIPANGWE KUKOSA KUKUTANA NA NGUVU YA MUNGU KWA MAJUMA HAYA.
MASOMO YATAYO TOLEWA NI:-
1. AFYA NA KIASI
2. KAYA NA FAMILIA(KLINIKI YA NDOA NA NAMNA YA KUPATA MKE/MME MWEMA)
3. MAFUNDISHO MAKUU YA NENO LA MUNGU
Mgeni rasmi katika ufunguzi wa mikutano hii awe waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.
MADA KUU: "UZOEFU WA NGUVU YA MUNGU".
MHUBIRI: DR BARAKA MUGANDA
MUDA: SAA 12 JIONI MPAKA SAA 2 KAMILI USIKU.
FATILIA KUPITIA: ROCK FM DODOMA, STAR TV, HOPE CHANNEL TANZANIA, ADVENTIST WORLD RADIO NA MORNING STAR RADIO
USIPANGE KUKOSA MBARAKA HUU. NENO LA MUNGU LINA NGUVU ZAIDI YA UPANGA, BOMU NA NYUKLIA.
EWE MWENYE SHIDA YAKO MPELEKEE MUNGU PALE MSALABANI. LAKINI USISAHAU KUIOMBEA SERIKALI YAKO.
BARIKIWA NA BWANA.
( TAARIFA NILIZOPATA HIVI PUNDE, ALIYEFUNGUA MKUTANO NI MHANDISI MASAUNI MASAUNI, N/W MAMBO YA NDANI).
