Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,412
- 26,903
Hello Wadau.
Nipo stage ya kupaua nyumba. Nyumba inadai bati 110, sasa ukigusa huku Alaf na kina Sunshare ni mkasi kweli kweli
Nina option mbili mkononi
1. Nipige bati za kawaida tu
2. Nipige bati za rangi toka kampuni ndogo ndogo
Sasa hapo namba mbili nimeona kuna kampuni inaitwa Bati Bomba Ltd inajinasibu sana kuwa na bati konki master.
Naomba mwenye uzoefu kwa namna moja au nyingine na hiki kiwanda au hivi viwanda vidogo vidogo vya bati anisaidie mawazo na uzoefu wake
Hii bei ya bati itaondoa roho yangu aisee
,
Nipo stage ya kupaua nyumba. Nyumba inadai bati 110, sasa ukigusa huku Alaf na kina Sunshare ni mkasi kweli kweli
Nina option mbili mkononi
1. Nipige bati za kawaida tu
2. Nipige bati za rangi toka kampuni ndogo ndogo
Sasa hapo namba mbili nimeona kuna kampuni inaitwa Bati Bomba Ltd inajinasibu sana kuwa na bati konki master.
Naomba mwenye uzoefu kwa namna moja au nyingine na hiki kiwanda au hivi viwanda vidogo vidogo vya bati anisaidie mawazo na uzoefu wake
Hii bei ya bati itaondoa roho yangu aisee
,