NGERESHAA
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 1,237
- 1,668
Wadau kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza, naomba kama kuna mtu yoyote anayejua sifa za mabati haya ya Bomba Bati .
Kuna mdau anauza ananishawishi kweli, kaniambia bati hizo ni za kampuni ya Kichina zipo vizuri. Naomba aliye wahi kuezekea au kuziona anipe mawili matatu kuhusu bati hizi.
Naomba pia mwenye namba za wakala wa Alaf mkoa wa Mbeya au ikishindika Dar, naomba anisaidie ili niangalie huko.
Asante.
Kuna mdau anauza ananishawishi kweli, kaniambia bati hizo ni za kampuni ya Kichina zipo vizuri. Naomba aliye wahi kuezekea au kuziona anipe mawili matatu kuhusu bati hizi.
Naomba pia mwenye namba za wakala wa Alaf mkoa wa Mbeya au ikishindika Dar, naomba anisaidie ili niangalie huko.
Asante.