Nchiyanguu
JF-Expert Member
- Sep 3, 2021
- 258
- 467
Habari za asubuhi wana jukwaa wenzangu.
Naenda moja kwa moja kwenye maada nipo kwenye hatua ya kupau nyumba. Nimeumiza kichwa sana kuwa ni bati gani ambazo zitaendana na uwezo wangu ALAF achana nazo bei zake za moto sana.
Je kati ya bati bomba na dragon mnanishauri ipi? Au kampuni ipi nyingine ni bora na nafuaa?
Na je nimesikia kuwa mabati ya migongo mipana haidumu kama ya migongo midogo. Je, hili lina ukweli?
Ahsanteni sana, naomba mawazo yenu.
Naenda moja kwa moja kwenye maada nipo kwenye hatua ya kupau nyumba. Nimeumiza kichwa sana kuwa ni bati gani ambazo zitaendana na uwezo wangu ALAF achana nazo bei zake za moto sana.
Je kati ya bati bomba na dragon mnanishauri ipi? Au kampuni ipi nyingine ni bora na nafuaa?
Na je nimesikia kuwa mabati ya migongo mipana haidumu kama ya migongo midogo. Je, hili lina ukweli?
Ahsanteni sana, naomba mawazo yenu.