Mliowahi kuomba kazi mashirika ya Umoja wa Mataifa (UN) mpitie hapa

Mkuu mimi nipo UN kama international personnel, kwa ufupi kimsingi hakuna shirika lolote la UN linalotajiri mtu mara ya kwanza katika mazingira ya kawaida kwa mtu kutuma CV kwa email. Wengi wanatumia form inaitwa P11 ambayo utaikuta online tayari kwa hiyo utakuwa unajaza kila step, mwisho wa siku inakuwa kama CV yakawaida. Kutoka kwenye pool of applicants kwenda kwenye Long listing wanatumia programme ya computer.

Kajiriwa kwa kutuma CV Hii inawekana tu hasa kama umeshafanya kazi kwenye hiyo Duty station na wakatokea wana shida ya gahfla sana wanaweza kukupa ajirabila kuweka kwenye website lakini hiyo inakuwa ni short term consultancy job " I/C au backstopper" ( baadhi ya mashirika hiyo mikataba wanafanya watu wa procurement na wala sio HR) na inabidi wakujazie form inaitwa" NOTE TO FILE".
Otherwise mambo yote ni kwenye website tu.

na hakuna mtu mmoja mwenye final authority. Kama ni fixed term HQ wana simamia kila step na mwisho kuna Central Review Board wanaangalia kama hatua zote zimefuatwa.

Ufafanuzi kidogo HQ ya UN au HQ kwenye nchi husika wanapotangaza kazi .. mdogo wangu yupo interested sana na hizo na ameshajaza profile yake Kwa UNDP na UNICEF..
 
Asante kiongozi.

Mfano kama wameomba CV tuu, then kwenye CV umeainisha skills zako kulingana na job descriptions zao, je kuna haja ya kuambatanisha na certificates za training mbalimbali ulizofanya?
Unforgetable

Manners Maketh Man
Hivi ni shirika gani la UN linatangaza kazi halafu wanakwambia utume CV kwa email siku hizi? Ukiona hivyo ujue hao ni matapeli tu. UN siku hizi application za kazi zao zinafanyika online hakuna cha kutuma CV through an email.

Kuwa macho.

Tiba
 
Nakubaliana na wewe mkuu.
UN agencies zote zina application portal. Hii inakuwezesha kutengeneza profile yako yenye personal details (age, location na contacts details), work experience, education, job related questions, questions about gender (haya siyo lazima kujibu). Pia kuna UN agencies nyingine ambazo kwenye profile yako pia unatakiwa uweke resume/CV pamoja na cover letter ila nyingine ni 1 page cover letter tu. Hata WFP wana job application portal.

Kwa UNHCR na IOM kwa Tanzania huwa wanatumia Personal Hostory (PH) 11 form ambayo ina vipengele kama kwenye application portal. Unaijaza na kusign electronically. Baada ya hapo unatuma kwa email.

Kuhusu CV format nadhani wakuu wameshasema hapo juu. Ila make sure unatuma ulichaombiwa kama ni CV tuma CV na kama ni resume tuma resume. Cover letter iwe page moja ambayo inademostrate how your experience has prepared you to undertake roles of the job that your are applying.

Be careful : Karibia international NGO zote hapa bongo (Engender, plan international, ICAP, Oxfam etc) na UN agencies zina application portal zao ambazo zina store information zako na hauhitaji kutuma kwa email. Very few wanatumia email. So ni kuwa makini usije kuwa unadeal na scammers.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafauti ya CV na resume ni ipi mkuu?
 
Tafauti ya CV na resume ni ipi mkuu?
Resume inakuwa page 1 kwa wenye uzoefu chini ya miaka 7. Maximum ni page 2 kwa wenyewe uzoefu wa zaidi ya miaka 7 na kuendelea.
Resume inakuwa na vitu vichache ambavyo vinakufanya ung'ae zaidi kwenye hiyo kazi unayoiomba.
So kama uliwahi kufanya kazi 5, unawezeka kuweka 1 au 2 tu ambayo inaendana na kazi unayoomba.
Katika kila nafasi unayoweka kwenye resume unalist achievements 1 au 2 tu.
Pia hauweki references.
Format yake inakuwa kama ifuatavyo:-
1. Contact info
2. Resume summary (1 -2 sentences)
3. Professional title
4. Work experience
5. Skills
6. Education
7. Additional section if needed.

Resume wanatumia sana USA na UK (ila hawa pia wanatumia CV)

CV kama unavyojua ni gazeti....
Inakuwa na sections nyingi kwa urefu zaidi.
Hapa unaandika kila kitu kinachohusiana na professional career yako..wengine wanaweka hadi hobbies..
Hii tunatumia sana AFRICA na scandivian countries..
CV pia inatumika sana na academicians manake wanaweka hadi list of publications zao pamoja na referees.
I hope umepata mwanga kidogo mkuu.
Nipo busy kidogo na majukumu..kama utataka maelezo zaidi utaniambia baadae kidogo mkuu.
 
Resume inakuwa page 1 kwa wenye uzoefu chini ya miaka 7. Maximum ni page 2 kwa wenyewe uzoefu wa zaidi ya miaka 7 na kuendelea.
Resume inakuwa na vitu vichache ambavyo vinakufanya ung'ae zaidi kwenye hiyo kazi unayoiomba.
So kama uliwahi kufanya kazi 5, unawezeka kuweka 1 au 2 tu ambayo inaendana na kazi unayoomba.
Katika kila nafasi unayoweka kwenye resume unalist achievements 1 au 2 tu.
Pia hauweki references.
Format yake inakuwa kama ifuatavyo:-
1. Contact info
2. Resume summary (1 -2 sentences)
3. Professional title
4. Work experience
5. Skills
6. Education
7. Additional section if needed.

Resume wanatumia sana USA na UK (ila hawa pia wanatumia CV)

CV kama unavyojua ni gazeti....
Inakuwa na sections nyingi kwa urefu zaidi.
Hapa unaandika kila kitu kinachohusiana na professional career yako..wengine wanaweka hadi hobbies..
Hii tunatumia sana AFRICA na scandivian countries..
CV pia inatumika sana na academicians manake wanaweka hadi list of publications zao pamoja na referees.
I hope umepata mwanga kidogo mkuu.
Nipo busy kidogo na majukumu..kama utataka maelezo zaidi utaniambia baadae kidogo mkuu.
Mkuu unaweza ku attached hapa sample kwa msaada wa wadau
 
Naombeni ushauri wa namna nzuri ya kuandika CV ya kuomba kazi kwenye hayo mashirika tajwa hapo juu hasa hasa UN.

Namna ya kuapply mara nyingi wanakuambia utume CV yako kwenye email. Sasa kimbembe ni kujua muundo wa hiyo CV unatakiwa uweje ili angalau kidogo wakupe attention.

Najua CV ya kutuma kwa hawa mabwana haiwi kama zile za kwetu ambazo mwishoni unaweka referee watatu. Hivyo kwa ambaye anajua naombeni msaada wa format yake ikiwezekana kama nitapata sample nitashukuru sana.

Cc: Nyani Ngabu Sky Eclat Zitto

Manners Maketh Man
Most of them wanakua na CV format yao wao wenyewe na wanakwambia ujaze hio. Ona hapo chini nimebold na color, ni mfano tu sio kila shirika

Dear Ms/Mr ...........,

Regarding your application to the vacancy above, we regret to inform you that you have not been selected. Nevertheless, your interest in this vacancy has been very much appreciated.

We invite you to visit our website in the future and apply to any vacancies that match your background and interests. When applying to new vacancies, the profile you have previously submitted can be re-used. However, we recommend that you update your personal profile and cover letter as appropriate so that your most recent work experience and motivation for each position will be fully reflected.

Best regards,

Human Resources Development Department
International Labour Office
 
Kalagabaho kweli kweli kama jina lake. Kumbe unajua. Sasa umeuliza ush*nzi wako hapa wa nini? Hata akili ya kuona kuwa nimeweka range (2,000-2,500) hauna, utapataje kazi UN? Hata akili ya kufungua website ya UNV ili ujionee mwenyewe hauna. Eti, ngoja nisubiri hapa... Kalagabaho wa kweli wewe.
Mwambie kuna adjustment ya salary inalipwa kuhakikisha thamani ya dola inakua sawa kwa wafanyakazi wote. Huyu kalagabaho kweli
 
Hivi jamii forum hakuna wanaofanya kazi umoja wa mataifa ??? Umoja wa Afrika ??? Umoja wa Afrika mashariki ??? Mje mtupe uzoefu
 
Back
Top Bottom