in short mkuu kazi yoyote ya un huwezi omba kwa kutumia email. wanatumia link yao. hiyo ni fake mkuu usijisumbue. lazima kazi itangazwe kwenye link yaoNimeshafungua, lkn cha ajabu hiyo kazi haipo kwenye list yao job adverts.
Unforgetable
Manners Maketh Man
Sent using Jamii Forums mobile app