Habarini Humu ndani,
Naombeni msaada au Mashauriano au Anayefahamu ni namna gani ya Kupata nafasi ya kazi katika Mashirika haya ya Umoja wa Mataifa UN, PWC, Delloite, EAC na Mashirika mengine makubwa makubwa aidha yako chini ya UN au hayako chini ya UN maana leo nimekumbana na swali hili. Is it comnection? Is it Luck? Is it mpaka Kuvolunteer na Hizo intern au unapataje pataje huko?
Nawasilisha
Naombeni msaada au Mashauriano au Anayefahamu ni namna gani ya Kupata nafasi ya kazi katika Mashirika haya ya Umoja wa Mataifa UN, PWC, Delloite, EAC na Mashirika mengine makubwa makubwa aidha yako chini ya UN au hayako chini ya UN maana leo nimekumbana na swali hili. Is it comnection? Is it Luck? Is it mpaka Kuvolunteer na Hizo intern au unapataje pataje huko?
Nawasilisha