Kwamba Tanzania ni God's last born sio utani, yupo Mungu.Kilichoonekana leo lake Tanganyika ni dhahiri hakukua na tahadhari yoyote iliyochukuliwa. Mlioenda uwanjani na mliokula kwenye mjipange kuzikana na kuku wa kideri. Delta haiwezi kuwaacha salama.
View attachment 1867897
Hzo ni fikra zako usitutie hofu Mungu Yu pamoja nasiKilichoonekana leo lake Tanganyika ni dhahiri hakukua na tahadhari yoyote iliyochukuliwa. Mlioenda uwanjani na mliokula 🦆 kwenye 🚆 mjipange kuzikana na kuku wa kideri. Delta haiwezi kuwaacha salama.
View attachment 1867897
Mwenye maana haambiwi maana. Ulidhani ni kama ulivyoambiwa. Hali ni mbaya kama huioni shauri zako.Hofu na woga havina nafasi kwenye ardhi ya Tanzania #save the date....
Wapo wap walio tabir mizoga kudhagaa mabarabarani....
Datc why chizi anakula majalalan na haumwi....
Naona unataka kuchukua nafas ya shetanKilichoonekana leo lake Tanganyika ni dhahiri hakukua na tahadhari yoyote iliyochukuliwa. Mlioenda uwanjani na mliokula 🦆 kwenye 🚆 mjipange kuzikana na kuku wa kideri. Delta haiwezi kuwaacha salama.
View attachment 1867897
Hayo ni maneno tuu...daladala za mbagala zinajazana balaa....hatujasikia taarifa zote...Mwenye maana haambiwi maana. Ulidhani ni kama ulivyoambiwa. Hali ni mbaya kama huioni shauri zako.
Sasa Mkuu nilazima mfano uwe wa mbagala tu, Kuna gongolamboto huko tegeta,kimara ,kawe kote kunajaza sana lakini wewe umeona uitaje mbagala tu daah yani!!!Hayo ni maneno tuu...daladala za mbagala zinajazana balaa....hatujasikia taarifa zote...
Kwenye Hili naungana na hayati Jpm....Hii issue ya corona ni ajenda ya Mabeberu.