Umsumbalembe
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 929
- 851
Habari wana jamii Forum, wale wasomi wa IFM miaka ya 90 tukumbukane hapa jamii forum.
Habari wana jamii Forum, wale wasomi wa IFM miaka ya 90 tukumbukane hapa jamii forum.
popoma umesomea wapi upopoma?Usisahau Pia Na Kujua Na Idadi Ya Wale Wenzenu Waliokufa Kwa UKIMWI Miaka Hiyo Hiyo Ya 90 Kwani IFM Ina Historia Yake Ya KUTUKUKA Hapa Nchini Tanzania Na Hasa Hasa Jiji La Dar es Salaam.
Fafanua....tuliosoma IFM miaka ya tisini amaa tuliomaliza miaka ya tisini?
Usisahau Pia Na Kujua Na Idadi Ya Wale Wenzenu Waliokufa Kwa UKIMWI Miaka Hiyo Hiyo Ya 90 Kwani IFM Ina Historia Yake Ya KUTUKUKA Hapa Nchini Tanzania Na Hasa Hasa Jiji La Dar es Salaam.
Jidulamabambasi alisoma miaka hiyo.....
Hivi hata miaka ile ilikuwa ishu kupata first class?maana 2010 Accounts hatukuzidi wa5!Heshima zimwendee Sinde,Mkumbo,Mgeni,Zawadi na Mkenda bila kumsahau Braza man Mulamula
Jidulamabambasi alisoma miaka hiyo.....
Usisahau Pia Na Kujua Na Idadi Ya Wale Wenzenu Waliokufa Kwa UKIMWI Miaka Hiyo Hiyo Ya 90 Kwani IFM Ina Historia Yake Ya KUTUKUKA Hapa Nchini Tanzania Na Hasa Hasa Jiji La Dar es Salaam.
Hivi hata miaka ile ilikuwa ishu kupata first class?maana 2010 Accounts hatukuzidi wa5!Heshima zimwendee Sinde,Mkumbo,Mgeni,Zawadi na Mkenda bila kumsahau Braza man Mulamula
Sio miaka ile tuu mkuu...hadi sasa ndo iko hivyo
Hivi hizo first class mkishazipata zinasaidia nini maana nchi bado maskini vilevile, wizi uleule, upumbavu uleule, miundombinu ileile. Kuna faida gani kupata first class??
Tisini ipi mimi nimesoma 1993 mpaka 1996 darasa la uhasibu