Mliopo ndani ya ndoa nisaidieni

Mliopo ndani ya ndoa nisaidieni

Shori

Senior Member
Joined
Nov 10, 2011
Posts
146
Reaction score
25
Kuuliza si ujinga ''eti walopo ndani ya ndoa, nguo za ndani kila mtu hufua zake au kuna kufuliana?"

NATAKA KUJUA ILI NIKIOA ISIWE SHIDA
 
Kuuliza si ujinga ''eti
walopo ndani ya ndoa,
nguo za ndani kila mtu
hufua zake au kuna
kufuliana?"
NATAKA KUJUA ILI NIKIOA
ISIWE SHIDA

Chupi ni nepi ni vizuri kila mtu akafua nepi yake anayovaa yenye mavi yake
 
He he he, hii formula unayotaka kutumia ni magazijuto? Area of a skwea? Au Formula 1?

Rule of thumb!!! Shori jiandae tu,huko ni mwendo wa zamu tu kufua mpaka kupiga deki!!!
 
Last edited by a moderator:
Kuuliza si ujinga ''eti
walopo ndani ya ndoa,
nguo za ndani kila mtu
hufua zake au kuna
kufuliana?"
NATAKA KUJUA ILI NIKIOA
ISIWE SHIDA

Shori Ndio Umemaliza?
 
Mpe dada wa kazi atakufulia tu chupi ni nguo kama sidiria, vest ama kitambaa cha kufuta jasho. .
Angalizo:inabidi uchunge usafi kwenye himaya zako ili hata mkeo ama mume akikufulia isiwe kero kwake.
 
huo ni umwinyi aiseee kuoa ni kupata mashine kwani ufuliwe mpaka chupiii? fua mwenyewe khaaaa ! ni kero
 
Kuuliza si ujinga ''eti
walopo ndani ya ndoa,
nguo za ndani kila mtu
hufua zake au kuna
kufuliana?"
NATAKA KUJUA ILI NIKIOA
ISIWE SHIDA

hiki kizazi kweli ni vilaza. Hivi isingekuwepo jf ungefanyeje?? Kwan ukifua mwenew kuna ubaya gan? Kuna sheria yoyote inayolazmisha kufanya hvyo?
 
Mnafuliana na kuvaliana, hiyo ndiyo ndoa!
 
Niliwahi kuona dada mmoja anafuliwa na msaidizi wake ile nguo nikashangaa sana...nadhani ni ubwanyenye uliopitiliza kutaka ufuliwe nguo yako ya ndani...
 
Labda niwe sijaivaa ni mpya kabisa ndio naweza kumpa anifulie
 
Mi sijui maana huwa sivai chupi ngoja waje wavaaji.kwan kuvaa chupi ni lazima?
 
Back
Top Bottom