Na haya ni machache tu[emoji3][emoji3]. La sivyo ungejaza page nzima[emoji1]Nimekosa uhuru kabisa,kutumia simu tu ni mtihani,mara aniongeleshe wakati niko nasoma nyuzi za watu humu mara anilalie nishindwe kutumia simu
Natamani kupata mwanya wa kula mbususu mpya zinazojileta nakosa
Suruali zangu za kadeti zinapauka sana kwasababu ya kufuliwa sana na mashuka pia yanafuliwa mpaka yanachakaa ndani ya muda mfupi
Kiukwel siifurahii ndoa,hata hivyo toka zamani nilikuwa sipendi ila niligandwa nikajikuta nimekamatwa kizembe
Mawazo yako, akili zako, sasa mi ni nani haswa hadi nipingane na ulichoandika hapa [emoji848][emoji16]Walio oa hawasemagi ukweli.Wanawambia vitu vya kuvutia ambao hawajaoa kusudi waingie na wao washuhudie wenyewe Kwa macho yaoo[emoji38]. Lakini behind the scene ni[emoji91][emoji91]
Siyo mawazo yangu mkuu... Iko hivyo soma comment ya Kunguru wa Manzese hapo juu.[emoji3]Mawazo yako, akili zako, sasa mi ni nani haswa hadi nipingane na ulichoandika hapa [emoji848][emoji16]
Imeisha hiyo, tuliojaliwa na MUNGU kupata majiko mema ngoja tuendelee kutembea vifua mbele tukifurahia uwepo wa amani, upendo na furaha ya ndoa [emoji28]Siyo mawazo yangu mkuu... Iko hivyo soma comment ya Kunguru wa Manzese hapo juu.[emoji3]
Wewe oa mkuu... Usikie maneno ya kina Liverpool vpn.bado naendelea kupitia comment zenu kwa umakini[emoji3166]
aaah' nataka nipate mawili matatu kwanza kwa hao walioa nione tofauti ni nnWewe oa mkuu... Usikie maneno ya kina Liverpool vpn.
Acha nicheke miyeeee[emoji23][emoji23]Sasa kama rafiki yake uncle alikuwa anaomba nimtafutie namba za mademu hapo kitaa apate tulizo na ameoa
Hivi nyie mlioa kuna usalama huko au mnataka kutuvuta tuteseke wote
oyaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, hahahahMkuu kwa wanawake wa sasahivi, ni bora usioe. Unaongeza HBP na unapunguza life expectancy yako.
Tia mimba, lea mtoto and the cycle continues...
Ndoa mwanzonii unajiuliza Kwanini ulichelewa kuoa,Lakini Siku zinavyo zidi kwendaa.Vitimbwi ndo vinaanza .aaah' nataka nipate mawili matatu kwanza kwa hao walioa nione tofauti ni nn
Wewe kama mimi tu..ebu tushauriane katika hayo.Nimekosa uhuru kabisa,kutumia simu tu ni mtihani,mara aniongeleshe wakati niko nasoma nyuzi za watu humu mara anilalie nishindwe kutumia simu
Natamani kupata mwanya wa kula mbususu mpya zinazojileta nakosa
Suruali zangu za kadeti zinapauka sana kwasababu ya kufuliwa sana na mashuka pia yanafuliwa mpaka yanachakaa ndani ya muda mfupi
Kiukwel siifurahii ndoa,hata hivyo toka zamani nilikuwa sipendi ila niligandwa nikajikuta nimekamatwa kizembe