Mr.Wenger
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 2,572
- 6,210
Yaani natamani hii awamu ya tano iishe faster aje mwingine tuendeleze ufisadi. Maana nipo posta hapa na kijiwe changu cha kupigisha kiwi a.k.a shoe shine back then kuna mabishoo walikuwa wanakuja mara tatu kwa siku kusafisha viatu lakini safari hii hata siwaoni cjui wameamua kutembea na brashi zao kwenye mabegi [emoji22]