Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,212
- 113,505
- Thread starter
- #161
Habari za Leo Mkuu Nyani Ngabu
Njema kushinda zako.
Habari za Leo Mkuu Nyani Ngabu
Chadema mna tabia ya kuhongwa ndio maana fikra zenu ni rushwa tu
Umenikumbusha nyimbo ya doper man - jina baya nimepewa BABA UBAYAMm simwelewi kabisa huyu mzee wetu mkuu wa kaya; kila siku yeye ni ugomvi tu, kiasi kwa mtaani kwetu wanamwita baba ubaya. Hata sigara yenyewe imekosekana pesa ya kununa. Siku hizi kina jamaa waliompogia debe wanalia hapa kitaa. Yaani wanajilaumu sana.
Sema kura yako.Kila kitu ni relative na hivyo uonavyo wewe, lkn wengi wetu tuliomchagua tunaona yuko njia sahihi kabisa na kama akisimama tena ana kura zetu!
......Haya sasa...naona tarakimu zinaanza kusomeka vizuri kwa wote.
Sasa naomba niwaulize swali nyote nyie mliomuunga mkono MTUKUFU Magufuli na CCM yake kwenye uchaguzi mkuu ulopita [2015].
Hivi ni kitu gani mlichokiona kwa huyo jamaa hadi mkaamua kumuunga mkono na kumpigia debe awe ndo amiri jeshi mkuu?
Mliamua hivyo kwa hasira za kusalitiwa na CHADEMA au mliamua hivyo kwa kuangalia sifa alizokuwa nazo?
Na kwani ilikuwa ni lazima mumuunge mkono yeye? Manake wagombea hawakuwa Lowassa na yeye tu.
Oh well....acha tu hizo tarakimu zisomeke sasa. Labda ndo tutatia akili huko mbeleni.
Huyo mtu ana mazuri yake machache mno na mabaya yake ni mengi zaidi.
Sawa Mkuu, ilikua salamu Tu sio mashindano.Njema kushinda zako.
Sio kweliChadema mna tabia ya kuhongwa ndio maana fikra zenu ni rushwa tu
Mbona unajihisi? Kuna aliyesema ni mashindano?Sawa Mkuu, ilikua salamu Tu sio mashindano.
IPI NJIA SAHIHI?HAKUNAKila kitu ni relative na hivyo uonavyo wewe, lkn wengi wetu tuliomchagua tunaona yuko njia sahihi kabisa na kama akisimama tena ana kura zetu!
Hata jana ngara huko amesema!! Hakustahili...........anajua alichofanya!!!Unadhani yy hajui alipata kura ngapi?anajua kura zake ndio maana hataki wenzake wafanye siasa.roho inamuuma
Hayo ni yako, unaweza kusema chochote unachotaka, lkn mwisho wa siku
Raisi wa JMTZ ni Pombe Magufuli, na huo ndiyo ukweli pekee, mengine yote porojo tu!
Ng'wanoko bhe gwa ugubadilikaga ....Mbona unajihisi? Kuna aliyesema ni mashindano?
Tuliambiwe tufikirie nje ya box.Fungua kituo cha afya.Hata Mimi sema now najuutaaa Niko kitaani na udaktari wangu miaka 2 sasa ni mfumo wa partime sasa hadi lini sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app