luginyo
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 1,385
- 638
Kituo cha afya duuu wakati ndio ninaanza life mtaji huoo au mkuu unataka unipe tufanye maishaaa sema tuTuliambiwe tufikirie nje ya box.Fungua kituo cha afya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kituo cha afya duuu wakati ndio ninaanza life mtaji huoo au mkuu unataka unipe tufanye maishaaa sema tuTuliambiwe tufikirie nje ya box.Fungua kituo cha afya.
Your thinking is just the same as me! I will never ever vote for C.C.MAnd I don't think I'll ever vote for CCM in my lifetime
Teh teh..najua mtaji ni majanga mkuu. Nashangaa tunaambiwa hivyo sasa nawaza watu wanapata wapi mitaji? Wengi wanapenda kujiajiri lkn tatizo linakuja hapo.Kituo cha afya duuu wakati ndio ninaanza life mtaji huoo au mkuu unataka unipe tufanye maishaaa sema tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri wa JF inatunza kumbukumbu, watu jana walisema jua, leo wanasema mvua.
Chagua mtu na si chama. Ina maana upinzani wakisimamisha mtu unaona kabisa hafai utamchagua tu kwasababu ni mpinzani wa ccm.Your thinking is just the same as me! I will never ever vote for C.C.M
Chagua mtu na si chama. Ina maana upinzani wakisimamisha mtu unaona kabisa hafai utamchagua tu kwasababu ni mpinzani wa ccm.
Ukishabikia chama utapata stress tu, bora kuwa mzalendo uchague yule ambae unaona anafaa kwa manufaa ya taifa regardless chama chake.
Usipaniki mkuu, samahani kama jiwe liliotupwa gizani limekupata.Clearly the concept of 'equal opportunity' is way above your pay grade!
Kabisa. Mimi sina chama pia maana wote wapuuzi. Na nisipoona mtu anayefaa bora nisipige kura.Ndo maana sisi wengine hatuna vyama.
Na kutokuwa na vyama kunatuweka huru zaidi kwa sababu hatuko beholden kwa yeyote yule.
Tunawachana CCM na tunawachana wapinzani wao kwa nguvu na ari ileile.
Usipaniki mkuu, samahani kama jiwe liliotupwa gizani limekupata.
Hakuna haja ya kukashfiana, I sense it is getting personal. So I will try to keep away from your threads. However, I will tell you that I don't have to be as 'intelligent' as you are to realize your 'little business interests' in TZ have compelled you suck up to current regime. And that is pathetic!No panic here. Unaelimishwa tu. Huna akili wala uwezo wa kunipanikisha.
Unarusha jiwe gizani? Lazima utakuwa unaogopa!
Hakuna haja ya kukashfiana, I sense it is getting personal.
So I will try to keep away from your threads.
However, I will tell you that I don't have to be as 'intelligent' as you are to realize your 'little business interests' in TZ have compelled you suck up to current regime.
And that is pathetic!
Dah! Mzee umenikumbusha mbali sana. Enzi hizo TvT . Kuna ngoma yake ilikuwa inapigwa sana, inaitwa JIMAMA FEDHA.Umenikumbusha nyimbo ya doper man - jina baya nimepewa BABA UBAYA
Sent using Jamii Forums mobile app
Alipata kura milioni 8 dhidi ya milioni 4 za chadema!