MGoja NIqoute usije UKAEDIT.Haya sasa...naona tarakimu zinaanza kusomeka vizuri kwa wote.
Sasa naomba niwaulize swali nyote nyie mliomuunga mkono MTUKUFU Magufuli na CCM yake kwenye uchaguzi mkuu ulopita [2015].
Hivi ni kitu gani mlichokiona kwa huyo jamaa hadi mkaamua kumuunga mkono na kumpigia debe awe ndo amiri jeshi mkuu?
Mliamua hivyo kwa hasira za kusalitiwa na CHADEMA au mliamua hivyo kwa kuangalia sifa alizokuwa nazo?
Na kwani ilikuwa ni lazima mumuunge mkono yeye? Manake wagombea hawakuwa Lowassa na yeye tu.
Oh well....acha tu hizo tarakimu zisomeke sasa. Labda ndo tutatia akili huko mbeleni.
Huyo mtu ana mazuri yake machache mno na mabaya yake ni mengi zaidi.
[emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]MGoja NIqoute usije UKAEDIT.
Kumbe shida yako siyo Magufuli bali ni CCM.Ndo maana kura yangu ilienda kwa yule mama wa ACT.
I just couldn't bring myself to voting for either Magufuli or Lowassa.
And I don't think I'll ever vote for CCM in my lifetime.
Safi sanaKati ya wagombea wote waliogombea, Magufuli ndiye bora, hata taasisi yake (CCM) ndio ilikuwa yenye mapana Na marefu ya kuiongoza hii nchi!!
Sijutii kura yangu kumpa Magufuli
Na mimi kiongozi ana kula yangu.Sema ana kura yako,sio zetu.zetu na nani anamtaka?
Mkuu haujarudi tu kutoka Butiama?Ngoja niende Butiama kuhiji, kusali, na kumuomba Mungu kwenye kaburi la Baba Wa Taifa. Nikirudi nitaanika uozo wote. Nchi yangu Tanzania imepotoka. Tunakoenda siko.
Vipi mkuu maswali hayo kwa Watanzania bado unawauliza hadi leo au ulibadili gia angani?Haya sasa...naona tarakimu zinaanza kusomeka vizuri kwa wote.
Sasa naomba niwaulize swali nyote nyie mliomuunga mkono MTUKUFU Magufuli na CCM yake kwenye uchaguzi mkuu ulopita [2015].
Hivi ni kitu gani mlichokiona kwa huyo jamaa hadi mkaamua kumuunga mkono na kumpigia debe awe ndo amiri jeshi mkuu?
Mliamua hivyo kwa hasira za kusalitiwa na CHADEMA au mliamua hivyo kwa kuangalia sifa alizokuwa nazo?
Na kwani ilikuwa ni lazima mumuunge mkono yeye? Manake wagombea hawakuwa Lowassa na yeye tu.
Oh well....acha tu hizo tarakimu zisomeke sasa. Labda ndo tutatia akili huko mbeleni.
Huyo mtu ana mazuri yake machache mno na mabaya yake ni mengi zaidi.
wanaobadili gia angani wako wengi sanaVipi mkuu maswali hayo kwa Watanzania bado unawauliza hadi leo au ulibadili gia angani?