Kuna Watanzania walikuwa na ' dhihaka ' za kila aina ( GENTAMYCINE hayupo ) kwa Rais Dkt. Magufuli hasa pale alipokuwa akizipokea Ndege zako kadhaa zilipowasili na ' wakimcheka ' labda wakimuona ni Mbwigira / Mshamba wakati kumbe ilikuwa ni haki yake kama Rais wa nchi.
Haya hivi sasa Raia wa Uganda Mzee Museveni nae anapokea bonge la ' Dege ' huko Kwake nchini Uganda. Kama vipi mchekeni na mdhihakini na Yeye pia ili tujue kuwa mna ' Usawa ' hasa katika ' Ukosoaji ' wenu na siyo kwamba pengine kuna Watu mna Visununu / Chuki tu kwa Mzee wa Watu Rais Dkt. Magufuli.
Nawasilisha.
Chanzo taarifa: NTV Uganda.