Mliokuwa ' mkimcheka ' Rais JPM kwa kupokea Ndege zake ' mchekeni ' pia na Rais Museveni anayepokea Ndege sasa

Jiangalie kubwa jinga.
 
uhuru naye alipokea 787 yao. Na kuiaga kuelekea marekani. Na aijaenda tena
 
Mbona Kenyatta naye alipokea Dreamliners!. Wabongo huwawezi.kwa kumlaumu JPM kwa vile kakata njia za mkato walizozowea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…