Mliokuwa ' mkimcheka ' Rais JPM kwa kupokea Ndege zake ' mchekeni ' pia na Rais Museveni anayepokea Ndege sasa

Kuna Watanzania walikuwa na ' dhihaka ' za kila aina ( GENTAMYCINE hayupo ) kwa Rais Dkt. Magufuli hasa pale alipokuwa akizipokea Ndege zako kadhaa zilipowasili na ' wakimcheka ' labda wakimuona ni Mbwigira / Mshamba wakati kumbe ilikuwa ni haki yake kama Rais wa nchi.

Haya hivi sasa Raia wa Uganda Mzee Museveni nae anapokea bonge la ' Dege ' huko Kwake nchini Uganda. Kama vipi mchekeni na mdhihakini na Yeye pia ili tujue kuwa mna ' Usawa ' hasa katika ' Ukosoaji ' wenu na siyo kwamba pengine kuna Watu mna Visununu / Chuki tu kwa Mzee wa Watu Rais Dkt. Magufuli.

Nawasilisha.

Chanzo taarifa: NTV Uganda.
Jiangalie kubwa jinga.
Screenshot_20190504-222357.jpeg
 
Kuna Watanzania walikuwa na ' dhihaka ' za kila aina ( GENTAMYCINE hayupo ) kwa Rais Dkt. Magufuli hasa pale alipokuwa akizipokea Ndege zako kadhaa zilipowasili na ' wakimcheka ' labda wakimuona ni Mbwigira / Mshamba wakati kumbe ilikuwa ni haki yake kama Rais wa nchi.

Haya hivi sasa Raia wa Uganda Mzee Museveni nae anapokea bonge la ' Dege ' huko Kwake nchini Uganda. Kama vipi mchekeni na mdhihakini na Yeye pia ili tujue kuwa mna ' Usawa ' hasa katika ' Ukosoaji ' wenu na siyo kwamba pengine kuna Watu mna Visununu / Chuki tu kwa Mzee wa Watu Rais Dkt. Magufuli.

Nawasilisha.

Chanzo taarifa: NTV Uganda.
uhuru naye alipokea 787 yao. Na kuiaga kuelekea marekani. Na aijaenda tena
 
Mbona Kenyatta naye alipokea Dreamliners!. Wabongo huwawezi.kwa kumlaumu JPM kwa vile kakata njia za mkato walizozowea.
 
Back
Top Bottom