Inategemea na standard za familia yao.
Kama wana jengo la kisasa lina suites za kutosha na lipo town kwanini aondoke?
Kumbuka hatujui kama bado anakaa home, tukio kaliona akiwa teenager, kapewa gari unaskia after 2 weeks karudisha. Chalii ni mwanaume wa shoka.
Kavumilia mengi kumuona tu bi mkubwa mapaja ndani ndani ni kalaana kiafrika, sasa umeona kajilegeza anashikwa analia ahsiii aiii bebi, na baba anaitwa bebi.
Mpaka unakaa sometimes unawaza dah dingi yangu ni fala, mama yangu kafanya ukaha** hii haina athari kiroho siku za mbele.
Ukute mijamaa inayokataa mwanamke kuendelea na kazi baada ya kuolewa waliona movie kama hii vividly kwa familia.